Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,226
- 18,389
achana naye aendelee kulala,akiamka anamkuta lowassa kasimama pembeni yake akiwa na maafisa wapya wa ikulu,anataka funguo za ikulu akaanze kazi,hapo ndo atajua athari ya hizo anazoita fotoshop!!Haiwezekani magazeti na media zingine zitengeneze picha feki ya ukawa, muzeee umedanganywa