Ccm ushindi ni palepale
Mkuu ni kwel aliondolewa kugombea ubunge sikonge? Kama kwel amewekwa nan kupitia chama gan mkuu kiukwel kaniaribia siku huyu mdudu
Mwanza ilikuwa zaidi. Watu walilala uwanjani kusubiri. wengine walijituma kudeki barabara. Hakukuwa na malori!!!!
ukawa walipaswa wasifungulie kampeni Dar es salaam
ilifaa wachague kati ya nyanda za juu kusini au kanda ya ziwa
afu uje uone shughuli pevu
Mwanza awakusombwa na fuso 2 akukuwa na wasanii. Kubali ukatae ccm autakaa uone tena mkusanyiko Kama hilo alafu ukawa atujazindua kampeni bado. Atutasomba watu / atutachukua wasanii lkn subiri muone moto wake.
kkkkkkkk ccm kweli mnaota mchana kweupe
wadau picha inayoonesha mwonekano wa juu(overview) ya ukawa wakati wa kumtambulisha mgombea wao mwanza jiji la pili na picha ya ccm ufunguzi wa kampeni jagwani yap ni maoni yako.
View attachment 279615
Huwezi linganisha picha za miji tofauti kwani inaidadi tofauti ya wakazi.
Ungelinganisha picha ya magufuli mwanza na lowasa mwanza au mkutano wa lowasa dar na magufuli dar