Picha ya overview Ukawa Mwanza na CCM Jangwani Dar

Picha ya overview Ukawa Mwanza na CCM Jangwani Dar

Mwanza ni sheeda acha wajiliwaze mziki wa mwanza utawajambisha wengi
 
Ukawa Mwanza tulienda kwa pesa yetu na bila kuahidiwa show ya kina Dimond na wengine wengi. Mwanza ilitimiza hoja ya kudai changes. Mfumo lazima ung'oke this time. Subirini muone oil chafu inavyosafisha kutokomeza mchwa
 
Na hapo ni Mwanza tu ,jiji ambalo hata halilingani na Dar kwenye wingi wa watu....
 
Kwa kuwa Uwanja wa taifa tumenyimwa, basi tufungulie hapo hapo Jangwani. Viti ni kwenye jukwaa tu wala kwingine hatutaki hata mtu aje na chake. ccm walisomba watu kutoka Kisarawe na Rufiji mpaka Bagamoyo na Chalinze.
Tunataka watu wa Darisalama tu tuuone mkutano. Matusi ya mzee Mkapa ayameze mwenyewe ka mate yake
 
Huwezi linganisha picha za miji tofauti kwani inaidadi tofauti ya wakazi.
Ungelinganisha picha ya magufuli mwanza na lowasa mwanza au mkutano wa lowasa dar na magufuli dar
Kama ni ivo basi wa magufuli dar wangekuwa wengi ukilinganisha na wa lowasa mwanza
 
Mwanza mlitisha kwakweli! Hongereni sana.
 
kweli mkuu hii ni brazuka kabisa angalia upande wa kulia ni beach hiyo
 
Uwanja wa jangwani Leo walijaa pale mbele ..kizuri wamesafisha Uwanja lakini robo Tatu ya Uwanja ilikuwa tupu ..
Kesho kutwa ukawa wataujaza toka mwanzo hadji Mwisho bila diamond ..
 
Kwa kuwa Uwanja wa taifa tumenyimwa, basi tufungulie hapo hapo Jangwani. Viti ni kwenye jukwaa tu wala kwingine hatutaki hata mtu aje na chake. ccm walisomba watu kutoka Kisarawe na Rufiji mpaka Bagamoyo na Chalinze.
Tunataka watu wa Darisalama tu tuuone mkutano. Matusi ya mzee Mkapa ayameze mwenyewe ka mate yake


Unataka kuniambia hadi Mkapa alikuwepo kutoa vijembe hayo makubwa!
 
Usafiri Bure
Viti vya kukaa
Wasanii wakubwa wa Tanzania show ya Bure
Mafuta ya bure kwa wenye pikipiki
Madela na Shati bure

Vyote hivyo bado watu wachache hivyo... khaaaa CCM poleni
 
Haiwezekani magazeti na media zingine zitengeneze picha feki ya ukawa, muzeee umedanganywa
 
ukawa picha zenu za kutengeneza.Wapumbavu wadanganyika by mkapa


Kwa kauli ya Mkapa wakiamua kumjibu nafikiri atatafuta pa kujificha. Huwezi kurusha jiwe kwenye kundi la nyuki na ukabaki salama.

Kwa uelewa wangu Mkapa kakosa adabu sana leo na kwa kweli wapinzani wenye lugha za kuudhi ni wengi na kwa sababu Mkapa kawafungulia basi tutegemee makubwa dhidi yake.

Nimependa sana hotuba ya Magufuli kwa sababu hajamsema mtu wala chama bali kazungumza sera na kuonesha mfano mzuri wa namna tunavyohitaji kujenga Taifa letu.

Uwepo wa wapinzani hapa nchi ni jambo la msingi sana na ikifika mahali wakakatishwa tamaa kwa vitisho na kauli za kipuuzi bado nchi yetu inaweza kutazamwa vinginevyo na Mataifa mengine,
 
Hoja si wangapi wamehuria hoja nini mgombea anachoeleza. Watu wanataka kusikia nini vipaumbele. Mtabaki kusema hatupigii kura ccm bilamgombea wa ukawa kupanda jukwaani.Sio wote waliofika pale wataipa kura ccm na sio wote waliofika mwanza wataipakura ukawa. Lakini mgombea anapojinadi ndio anavyowashawishi watu. Sidhani kama mgombea wa ukawa ana uwezo wa kujieleza kutokana na hali yake.najua mtanitukana lakini ukweli utadhirika.
 
hiyo.picha ya ccm sio ya kweli hayo yalikua maamdamano brazil.kipindi cha kombe la dunia jamaa mafia sana hahahahhaaaa hawajatupata bado!!
 
Kama pcha za kutengeneza kwanini Jk anatumia Police wa FFU kuzuia mafuriko ya lowasa naona wamecopy na kupaste adi kauli ya mafuriko kweli hii ni sawa na kusema sili nyama ya nguruwe ila nakula mchuzi wa nguruwe...lowasa kawashika pabaya ccm
 
Back
Top Bottom