Picha ya overview Ukawa Mwanza na CCM Jangwani Dar

Picha ya overview Ukawa Mwanza na CCM Jangwani Dar

Hapo mkutano wa ccm watu wamesombwa na uda toka alfajiri hakuna kitu mwaka huu ccm ni kichapo tu hakuna jipya, mgombea anarudia ahadi za kikwete ambazo hazikutekelezwa
 
Ujue picha hizi ni za matukio tofauti utambulisho na uzinduzi wa kampeni, ukitambua hilo ukawa wako juuu!!
 
Lowassa alikuwa anawatumia bongo flavor wakati yuko CCM siku hizi anaenda bila ya bongo flavor if anything umati uleule kama sio zaidi. Naweza kuona mantiki ya kutaka kuona vijana wa muziki kuingilia siasa lakini wana impact kweli kwa watu wanaoneda bila ya mboga au mi sielewi kitu hapa.

Naomba kufahamishwa na waliokuweko kwenye campaign za mwalimu wakati wa vyama vingi kwenye kuwanadi wagombea wa CCM au mikutano yake hivi kulikuwa na ngoma za kibisa pia zinaimba nyimbo za kusifia CCM au ushawishi ulitokana na hoja za kwenda kusikiliza? only in Tanzania
 
Ukiiangalianvema picha ya jangwani Kama Ina patches
Ndiyo,watu walikuwa wamekaa mbali mbali kwenye viti,ndiyo maana machinga walikuwa wanakatiza kati yao bila tabu,pia kulikuwa na makundi matatu,kila moja likitengwa na barabara katikati,ila hii picha haionyeshi barabara mbili zilizokuwa zimekatiza uwanjani,jumlisha diamonde na wenzie,jumlisha uwepo wa marais WOTE wastaafu,jumlisha Rais wa jmt!!! Kale kaumati ni kadogo jamani,tusijipe moyo.
 
Wadau picha inayoonesha mwonekano Wa juu(overview) ya Ukawa wakati Wa kumtambulisha mgombea wao Mwanza jiji la pili na picha ya CCM ufunguzi Wa kampeni jagwani yap ni maoni yako.

View attachment 279615
Ukiangalia ya CCM imepigwa juu sana na huwezi ona mtu amesimama, ya Ukawa imepigwa karibu thats why unaona watu wamesimama, so tumia akili kujua wapi wengi
 
Mwanza nawatanzania wote hatutaki hoja za ccm tena zakipumbavu, walishindwa miaka hamsini je, ndani ya miaka mitano pombe itaweza! ? Sioni chakuilinganisha ukawa
 
  • Thanks
Reactions: bht
Pombe anasema eti flyover hadi japan wasaidie, hivi unatoa ahadi kwa kutegemea msaada poor pombe
 
Matatizo ya maji hospital shule anasema anayajua atashughulikia hata kikwete alikuwa anayajua swala siyo kuyajua tulitaka tusikie mipango na mikakati ya namna ya kuyatatua
 
Mwanza ilikuwa zaidi. Watu walilala uwanjani kusubiri. wengine walijituma kudeki barabara. Hakukuwa na malori!!!!

mm ni shahidi kabisa nilikuwa na ndoo ya maji kudeki barabara chafu za bombe
 
Overview ya Dar inatia mashaka. Resolution is not right.
 
DR JAKAYA alisema zile zilikuwa za DR. SLAA... tena zimeunganishwa na computer
 
Back
Top Bottom