Unapewa barua ya kupanda gali bule mpaka kwenupole sana mkuu, ila naomba kuuliza wakuu
ivi kama umefanyia kosa mtwara nawe ni mkazi wa huko ukahukumiwa miaka 4 ila adhabu yako ukaimalizia kagera je? wanakupa nauli ya kurudi mtwara ama utajijua ukitoka jera.
shukrani mkuu pole na maswahibu yaliyo kukuta. iyo nauli wanakupa na ya kula njiani ama
Duu pole ndgMama zako hao, unapewa nauli ambayo kula utajibeba mwenyewe.
AhahahAisee Don Nalimi sura imebadilika sana hadi yule demu wako mtoto wa Obama akikuona atakusahau.
AhahahhahNimefarijika sana kuona umerudi uraiani, ila mkuu siku za mwsho mwsho kabla Pilato hajakutia mvuani,dishi lilikuwa limekuyumba. Hope now mawimbi yanakamata vizuri tu
AhhahhDah, kumbe hii mashine ilikuwa inside! Ndo maana kulikuwa kimya aisee.
Pole sana aisee
Hongera mkuu umekula 23k ya serekali.
Ahhahh,chama gani?Pole sana Mpwa, kile chama chetu cha siasa ufanye mambo kisajiliwe sasa huu ndio msimu wake. Karibu
Dah sikumbuki jina but alikua anamalizia process za usajili wa Chama chakeAhhahh,chama gani?
Huyu dishi lilishayumbaDah sikumbuki jina but alikua anamalizia process za usajili wa Chama chake
Teh usije ukarudishwa tu ndani kwa kuambiwa umepiga picha gereza
Tanzania yetu ina mambo Don Nalimison