Nadhani hakumbuki ndo maana kafungua I'd mpya.Anakumbuka Password?
Mjasiri haachi asili...Wamejipunguza wenyewe.
pole sana mkuu, ila naomba kuuliza wakuu
ivi kama umefanyia kosa mtwara nawe ni mkazi wa huko ukahukumiwa miaka 4 ila adhabu yako ukaimalizia kagera je? wanakupa nauli ya kurudi mtwara ama utajijua ukitoka jera.
Hongera na pole mkuu. Umetoka mafunzoni muda muafaka. Ni wakati wa kuendeleza ile ndoto yako sasa! Chukua fomu ya kugombea.
Pole na hongera Brother, karibu tena uraiani, karibu tena JF.
pole sana mkuu, ila naomba kuuliza wakuu
ivi kama umefanyia kosa mtwara nawe ni mkazi wa huko ukahukumiwa miaka 4 ila adhabu yako ukaimalizia kagera je? wanakupa nauli ya kurudi mtwara ama utajijua ukitoka jera.
shukrani mkuu pole na maswahibu yaliyo kukuta. iyo nauli wanakupa na ya kula njiani amaUnape
Unapewa nauli kurudi mahakama iliyokufunha.