ubunifu wako mzuri sana mkuuHii je?
ubunifu wako mzuri sana mkuuHii je?
Wakuu hii ndio nafikiri ilikuwa bendera halisi ya Tanganyika
Soma Rasimu II usiwe mvivu utajua kazi zakeTukikaa na kufikiri kwa kina sijui huyu RAIS wa muungano atakuwa ana kazi gani yaani kwa ufupi JD yake ni ipi?Je atakuwa na AUTHORITY gani?Ni nani atachangia cost za kuiweka serikali hii ya tatu.Je itakuwa na wabunge na mawaziri au inakuwaje?Je,hii kodi yetu itatosha kuendesha safari za RAIS wa Tanganyika na RAIS wa Muungano? Watanzania inapasa tujiulize mara tatu tatu hii ni kwa faida ya MTANZANIA au MWA-SIHASA?
mkuu iyo bendera sijaibuni bali ni bendera iliyotumika kipindi kile cha ukoloni wa mwingereza. hiyo ni bendera ya gavana.ubunifu wako mzuri sana mkuu
Ndugu kweli kabisa, Tutawapoteza Wazenji vibaya mno!Hii ni sera ya ccm "Nchi ndogo kuongoza nchi kubwa"
The rise of Tanganyika = The fall of Zanzibar
Hii ya Tanganyika ya mkoloni,tunataka ile ya Tanganyika huru!
Soma Rasimu II usiwe mvivu utajua kazi zake
Kwani ina uhusiano gani na hii ya kwetu? wafie mbali hukoKwani ya zanzibar ipo?
Hii ya TANGANYIKA
Na hii ya TANU
Naona watu wanazichanganya sana!
Katika hali ya kufurahia ujio wa tanganyika mpya iliyo kuwa imepotezwa na ccm,sasa bendera ya tanganyika ipo mitaani kama maandalizi ya hamasa ya kushawishi wananchi wakubali serikali 3
Nakupenda Nchi yangu Tanzania.
Hii je?
Hiyo ilikuwa inamtambulisha gavana mkuu.Mkuu hiyo nadhani ilikuwa kumtambulisha prime minister wa Tanganyika au kwa sasa ni ile bender a ya raisi.
Hiyo ni habari njema mkuu unaweza kutuelekeza zilipo nahitaji moja niipepee kusherehekea utanganyika wangu.
Mkuu nilikuwa napata Lunch na Coke.
Baada ya kuona hizi Combination za CHADEMA na TANGANYIKA nimefarijika na nimeamua kuagiza na Tusker Baridi Kabisa....