Picha ya Bendera ya Tanganyika kwa ambao hatujawahi kuiona

Hivi na TANU inarudi?


Hii ya TANGANYIKA

Flag_of_Tanganyika.png


Na hii ya TANU
1200px-Flag_of_Tanganyika_African_National_Union.svg.png


Naona watu wanazichanganya sana!
 
Wadanganyika sasa mmeanza kuelewa somo,mtu kudai chake ni haki yake sio dhambi,tukutane UN, zanzibar kwanza.
 
Na ije tu maana nitafurahi sana kuitwa mtanganyika kwan naumia sana pale nnajiuliza tanganyika iko wap na ninakosa majibu kabisa ile hali zanzibar bado ipo
 
Safi sana nunueni bendera ya nchi yenu., ivi na wale wasiopenda neno Tanganyika pia watatamani kuiyona bendera yao? mana nchi ya Tanganyika ilikuwa likizo?
 
Katika hali ya kufurahia ujio wa tanganyika mpya iliyo kuwa imepotezwa na ccm,sasa bendera ya tanganyika ipo mitaani kama maandalizi ya hamasa ya kushawishi wananchi wakubali serikali 3

Ivi Tanganyika wana wimbo wa Taifa? mana nchi yao hawakupindua walipewa tu na wakoloni
 
Na ije tu maana nitafurahi sana kuitwa mtanganyika kwan naumia sana pale nnajiuliza tanganyika iko wap na ninakosa majibu kabisa ile hali zanzibar bado ipo

Tunafurahi kuona tanganyika nawo sasa kwa furaha kabisa wanatamani kuipokea Tanganyika yao.,
 
Tukikaa na kufikiri kwa kina sijui huyu RAIS wa muungano atakuwa ana kazi gani yaani kwa ufupi JD yake ni ipi?Je atakuwa na AUTHORITY gani?Ni nani atachangia cost za kuiweka serikali hii ya tatu.Je itakuwa na wabunge na mawaziri au inakuwaje?Je,hii kodi yetu itatosha kuendesha safari za RAIS wa Tanganyika na RAIS wa Muungano? Watanzania inapasa tujiulize mara tatu tatu hii ni kwa faida ya MTANZANIA au MWA-SIHASA?

Je umesoma Rasimu ya Pili? Sijui nianzie wapi kukufundisha. Ogopa kuweka uzumbukuku wako hadharani.
Tanganyika njoo haraka. Haiwezekani damu ya wapigania uhuru ipuuzwe.
 
Hamna mapenz ya upande mmoja,zanzibar wanahis wao wanastahil kubembelezwa wabak kwenye muungano kitu ambacho c haki.
 
Hamna mapenz ya upande mmoja,zanzibar wanahis wao wanastahil kubembelezwa wabak kwenye muungano ambacho c haki.
 
Back
Top Bottom