Picha ya 2020 imeshajichora! Bado rangi tuu

Picha ya 2020 imeshajichora! Bado rangi tuu

Tukaipige baragumu jangwani kule ambako hakuna uhai lakini hakuna hofu
Tumaini la mirindimo na ala zake zikapeperushwe mpaka kwa wanakaya tukuka?
Sitaki kukumbuka makombokinia wakati minofu yake yote anaondoka nayo tai mweupe apaaye juu angani sana
Naweza kunena nikagonda kwa uwazi ukweli na uhuru lakini nitasalimika! [emoji15] [emoji144] kifanyio changu nakionea imani pale kitakapodungwa mkuki mwembamba ama kubebeshwa makilo ya ratili kutwa kuchwa
Acha nipige zumari jangwani View attachment 545920

Sent using Jamii Forums mobile app

Appreciated😉)[emoji46]
 
Hilo halina ubishi na wakitaka kumsimamisha mtu tofauti basi yatakuwa makosa makubwa ambayo yanaweza jabusa kuidhoovisha CHADEMA kwa muda mrefu sana kama siyo milele.

JPM is my future president...dont blame Mr. president for your own SHIT!!
 
Tukaipige baragumu jangwani kule ambako hakuna uhai lakini hakuna hofu
Tumaini la mirindimo na ala zake zikapeperushwe mpaka kwa wanakaya tukuka?
Sitaki kukumbuka makombokinia wakati minofu yake yote anaondoka nayo tai mweupe apaaye juu angani sana
Naweza kunena nikagonda kwa uwazi ukweli na uhuru lakini nitasalimika! [emoji15] [emoji144] kifanyio changu nakionea imani pale kitakapodungwa mkuki mwembamba ama kubebeshwa makilo ya ratili kutwa kuchwa
Acha nipige zumari jangwani View attachment 545920

Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea unanyoa mtindo gani denge au kibwenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
hata bata anadimpoz lkn limefichwa na manyoya!
na makalio ya bata ni miguu yake mwenyewe.. sikuwahi kuwa mpiga kelele hapo kabla huenda nimeanza jana lkn ukiona popo mbili zinashindana kuvuka mto ujue malkia wa ubaya na uzuri anapita kati yao.
kijicho cha jirani kisikudanganye kuwa anakupenda ila muangalie mwanzo kati na kule anakoenda utaijua sufu yake kuwa ni safi ama lah!
 
Mkubali mkatae ila Magufuli ni chaguo sahihi la watanzania. Hata yule ambaye hakumpa kura anatamani uchaguzi ufike ampe kura[emoji38][emoji6]
Sasa woga wa nini kama anakubalika namna hiyo? muwe mnatumia akili ku justify hoja za namna hiyo zinazogusa mawazo ya wengi.
 
Mkubali mkatae ila Magufuli ni chaguo sahihi la watanzania. Hata yule ambaye hakumpa kura anatamani uchaguzi ufike ampe kura[emoji38][emoji6]
Labda wewe peke yako,ukiishilikisha familia yako,utachekwa
 
Back
Top Bottom