Have you ever witnessed any living thing on its last breath? The kicks are so feeble with little harm if any but still remain kicks anyway.A dying horse is more dangerous than a living one... Its last kicks can cause inevitable harm..
Sent using Jamii Forums mobile app
uko vizuri mkuu!!
That's why I said horse.... Because even a mosquito can kick pal [emoji2]Have you ever witnessed any living thing on its last breath? The kicks are so feeble with little harm if any but still remain kicks anyway.
Hahahaaaaa. You don't disappoint in amusement.That's why I said horse.... Because even a mosquito can kick pal [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji102] [emoji2] [emoji144] [emoji115] [emoji2]Hahahaaaaa. You don't disappoint in amusement.
Impossible...!kwani siasa ni sehemu ya maisha ya mwanadamu? kwanini tusiwe na mambo mengine siasa tukaachana nazo?
Kwa kuwa bado miaka 2 tumeishawajua sasa tuanze kuipaka picha rangi, kuna Uzi humu uliandikwa tangu mwaka 2012 na I'd ya MAGAMBA MATATU, umeeleza mikakati yao ovu waliyoplan kuitenda ili kulinda madaraka, mingine imeishafailNi movements zinazoenda kwa kasi ya aina yake but very well timed
Unafanya diversion hapa ili kuhamisha attention ya public kisha unabutua
Unahakikisha unajenga hofu kubwa kwa yeyote anayejaribu kwenda kinyume
Unajenga msingi wenye kingo imara kupitia teuzi za watendaji waliojawa hofu
Vipaza sauti vyote vya baraza la jamii ama vinatobolewa au kubondwabondwa kama si kufungiwa ghalani
Ukishindwa kuichora picha ya 2020 basi saidia hata kupaka rangi ili siku tukiibandika kwenye bango USISHANGAE
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji123][emoji115][emoji111][emoji109]Kwa kuwa bado miaka 2 tumeishawajua sasa tuanze kuipaka picha rangi, kuna Uzi humu uliandikwa tangu mwaka 2012 na I'd ya MAGAMBA MATATU, umeeleza mikakati yao ovu waliyoplan kuitenda ili kulinda madaraka, mingine imeishafail
Mshana Jr umeandka kitu cha maana sana,na umetumia fasihi ya Hali ya juu sana.Tunaokuelewa ktk bandiko hili ni sisi tuliosoma literature, kweli umeona mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiachia mbali UCHAWI ,,unabusara sanaNi movements zinazoenda kwa kasi ya aina yake but very well timed
Unafanya diversion hapa ili kuhamisha attention ya public kisha unabutua
Unahakikisha unajenga hofu kubwa kwa yeyote anayejaribu kwenda kinyume
Unajenga msingi wenye kingo imara kupitia teuzi za watendaji waliojawa hofu
Vipaza sauti vyote vya baraza la jamii ama vinatobolewa au kubondwabondwa kama si kufungiwa ghalani
Ukishindwa kuichora picha ya 2020 basi saidia hata kupaka rangi ili siku tukiibandika kwenye bango USISHANGAE
Sent using Jamii Forums mobile app
duh...kuna vitu umelishwaMkubali mkatae ila Magufuli ni chaguo sahihi la watanzania. Hata yule ambaye hakumpa kura anatamani uchaguzi ufike ampe kura[emoji38][emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] roho ya koroshowHujasoma literature au hukuielewa ikiwa ulisoma. Usidanganye watu. Maana ungekuwa umesoma usingeandika ulichoandika.umeweka ushabiki.kuna literature gani katika alichoandika mshana? C'mon man be serious hata kidogo.kwa nini mnapenda kudhalilisha taaluma za watu?
Ufafanuzi hapo namba 5 p/s
Doh...kumbe vyama mbadala ndo vilishinda?Mkuu toka 2010 lini CCM ilishinda?