Picha ya 2020 imeshajichora! Bado rangi tuu

Picha ya 2020 imeshajichora! Bado rangi tuu

Mkubali mkatae ila Magufuli ni chaguo sahihi la watanzania. Hata yule ambaye hakumpa kura anatamani uchaguzi ufike ampe kura[emoji38][emoji6]

Sema wewe usitusemee.Wengine hata kwa kunyongwa hatumpi kura mtu mwenye visasi,chuki na ubaguzi
 
Mkubali mkatae ila Magufuli ni chaguo sahihi la watanzania. Hata yule ambaye hakumpa kura anatamani uchaguzi ufike ampe kura[emoji38][emoji6]

Haa haa 😛😛 haa !!

Mimi sikumpa kura yangu kuanzia chini hadi juu na sifikirii kumpa leo, kesho wala keshokutwa !!

Sasa wewe unatusemeaje watu kama sisi !!?????
 
Hilo halina ubishi na wakitaka kumsimamisha mtu tofauti basi yatakuwa makosa makubwa ambayo yanaweza jabusa kuidhoovisha CHADEMA kwa muda mrefu sana kama siyo milele.
Si vibaya kujipa moyo. Lakini sioni mtu yeyote huko ccm b wa kuwashinda ccm a. Nilisema hivi 2015 nikitolea mfano wa Mrema mkasema hii ni miaka tofauti lakini kufikia karibu ya uchaguzi ndugu zetu kina mbowe wakaanza kufukuzana (zitto,mkumbo n.k) wakaishia kupata msaada tena kutoka maswaiba wao ccm a wakawapatia mchezaji wao ambaye ccm b walinanga miaka 7 kama fisadi.

Usinielewe vibaya kama sipendi mabadiliko la hasha nayapenda lakini si ya kubadili sura bali ya kuleta mabadiliko ya kweli.
 
Aliyeshiba ni ngumu kumkumbuka mwenye njaa,
Kinachotuponza ni umimi.
Magufuli hahitaji hata kura moja ya watu JF kushinda mwaka 2020. Wengi wa JF ni watu wanaojadili kwa mihemko maana kesho wanasahau nini walisema jana. Tungewaamini watu wa JF basi Lowasa asingepata kura nyingi vile. JF wanajifanya wao ni 55% ya watanzania. Wengi ni mabingwa wa KB na hawana hata makaratasi ya Tanzania halafu wanataka kua wasemaji wa Watanzania.
 
Sema wewe usitusemee.Wengine hata kwa kunyongwa hatumpi kura mtu mwenye visasi,chuki na ubaguzi

Magufuli hahitaji hata kura moja ya watu JF kushinda mwaka 2020. Wengi wa JF ni watu wanaojadili kwa mihemko maana kesho wanasahau nini walisema jana. Tungewaamini watu wa JF basi Lowasa asingepata kura nyingi vile. JF wanajifanya wao ni 55% ya watanzania. Wengi ni mabingwa wa KB na hawana hata makaratasi ya Tanzania halafu wanataka kua wasemaji wa Watanzania.
 
Magufuli hahitaji hata kura moja ya watu JF kushinda mwaka 2020. Wengi wa JF ni watu wanaojadili kwa mihemko maana kesho wanasahau nini walisema jana. Tungewaamini watu wa JF basi Lowasa asingepata kura nyingi vile. JF wanajifanya wao ni 55% ya watanzania. Wengi ni mabingwa wa KB na hawana hata makaratasi ya Tanzania halafu wanataka kua wasemaji wa Watanzania.
MKUU KAMA TULIAMINISHWA KUWA FISADI JE KUNA UBAYA GANI ,MBONA KAHAMA CCM NA MACCM WAMEKAFUNGUA MAHAKAMA YA MAFISADI MBONA MPAKA NAANDIKA HUU UZI HAWAJAMPELEKA MAHAKAMANI?

wenzako walichekecha wakagundua pumba na mchele wewe kwa chuki zako binafsi endelea
 
Magufuli hahitaji hata kura moja ya watu JF kushinda mwaka 2020. Wengi wa JF ni watu wanaojadili kwa mihemko maana kesho wanasahau nini walisema jana. Tungewaamini watu wa JF basi Lowasa asingepata kura nyingi vile. JF wanajifanya wao ni 55% ya watanzania. Wengi ni mabingwa wa KB na hawana hata makaratasi ya Tanzania halafu wanataka kua wasemaji wa Watanzania.

Sikuwahi kumpigia KURA kiongozi yeyote anayetokea CCM na sikumpigia KURA Magufuli sababu ninafahamu tabia na hulka yake akiwa Waziri niliwasikiliza aliowatesa akiwa waziri,so nilielewa anaenda kuwa Rais wa aina gani.

Nilimsikia kwenye mikutano akitukana na kujigamba nilijua hulka yake nikaona hapa hakuna kitu ni Chuki,Visasi na Ubaguzi tu hakuna viwanda wala maendeleo.

Miaka 22 Tanzania inaongozwa kwa chuki na visasi.
 
Back
Top Bottom