Picha ya 2020 imeshajichora! Bado rangi tuu

Picha ya 2020 imeshajichora! Bado rangi tuu

Ni movements zinazoenda kwa kasi ya aina yake but very well timed
Unafanya diversion hapa ili kuhamisha attention ya public kisha unabutua
Unahakikisha unajenga hofu kubwa kwa yeyote anayejaribu kwenda kinyume
Unajenga msingi wenye kingo imara kupitia teuzi za watendaji waliojawa hofu
Vipaza sauti vyote vya baraza la jamii ama vinatobolewa au kubondwabondwa kama si kufungiwa ghalani
Ukishindwa kuichora picha ya 2020 basi saidia hata kupaka rangi ili siku tukiibandika kwenye bango USISHANGAE


Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa Za kufanya Frame ya Picha tutanunulia Madawati

Pesa Za kufanya Frame ya Picha tutanunulia Madawati.jpg
 
Kwa nini? Mtu akiongea ukweli anakuwa na roho ya korosho?

Haya ...aisee....hii ni bonge la fasihi.sijapata kuona.mwandishi ametumia fasihi ya hali ya juu sana.
😂😂😂. Mshana ukitaka demokrasia lazima uanze kuonesha demokrasia.kama mtu atapingana nawe ukaona ana roho ya korosho tayari unakuwa umezuia demokrasia.lazima tukubali kutokukubaliana.mimi naifaham fasihi ndo maana nmeshtuka kusikia mtu anasema hii ni fasihi.nikaona nikusaidie ili watu wasije wakadhan hata wewe unaamini hivyo.lakini tena naonekana mbaya.kumbe nawe unaamini hapo umetumia fasihi? 😂😂😂 Maajabu hayawezi isha.

Hongera sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] roho ya koroshow
 
Kwa nini? Mtu akiongea ukweli anakuwa na roho ya korosho?

Haya ...aisee....hii ni bonge la fasihi.sijapata kuona.mwandishi ametumia fasihi ya hali ya juu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]. Mshana ukitaka demokrasia lazima uanze kuonesha demokrasia.kama mtu atapingana nawe ukaona ana roho ya korosho tayari unakuwa umezuia demokrasia.lazima tukubali kutokukubaliana.mimi naifaham fasihi ndo maana nmeshtuka kusikia mtu anasema hii ni fasihi.nikaona nikusaidie ili watu wasije wakadhan hata wewe unaamini hivyo.lakini tena naonekana mbaya.kumbe nawe unaamini hapo umetumia fasihi? [emoji23][emoji23][emoji23] Maajabu hayawezi isha.

Hongera sana
Hapana GuDume hapa ndio umejirudi na kuandika kwa weledi kidogo.... Kule uliponda... Na sababu za kufanya hivyo ziko wazi ndio maana nimecheka sana
 
Upepo umebadilika, mafao yamekuwa kitanzi.
1. Kama 2015 wizi wa kura ulifanyika 2020 utafanyika zaidi
2. Kama 2015 nguvu kubwa ilitumika 2020 nguvu kubwa itatumika zaidi.
Nina uhakika 2020 muundo wa upigaji kura utarudi kwenye chama kimoja wakajisahau kama walivyofanya uchaguzi mdogo chato ndiyo na hapana hapana zitazidi.
 
Under a dictatorship, a nation ceases to exist. All that remains is a fiefdom, a planet of slaves regimented by aliens from outer space.
Wole Soyinka


Masikini watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app

Quite right. In other words government ceases to exist; instead you only have the head! Every major decision or achievement is attributed to supreme leader. The other day I read thus: supreme leader disburses so much for higher education loans board! Not government.
 
I
Ni movements zinazoenda kwa kasi ya aina yake but very well timed
Unafanya diversion hapa ili kuhamisha attention ya public kisha unabutua
Unahakikisha unajenga hofu kubwa kwa yeyote anayejaribu kwenda kinyume
Unajenga msingi wenye kingo imara kupitia teuzi za watendaji waliojawa hofu
Vipaza sauti vyote vya baraza la jamii ama vinatobolewa au kubondwabondwa kama si kufungiwa ghalani
Ukishindwa kuichora picha ya 2020 basi saidia hata kupaka rangi ili siku tukiibandika kwenye bango USISHANGAE


Sent using Jamii Forums mobile app
Imejichora au imechorwa
 
Uandishi wangu ni huu huu miaka yote.huwa naandika ninachojiamini.kule nlimponda jamaa kilaza ambaye anasema imetumika fasihi.niliona wazi kabisa ana aibisha taaluma za watu na anajidhilisha kuwa ni kilaza.mimi nmeona umeandika kawaida kwa namna yako.lako si fasihi au fasihi ya hali ya juu kama mdaiji alivyoandika.

Wasiwasi wangu kizazi hiki kisipoelewa mada kinasema imetumika fasihi.mwingine katika kutapatapa atasema imetumika code . Hii hali ya kuwa na kizazi kisichopenda kufikiri inaongeza mzigo kwa taifa hili.

But pia mimi sina sababu hata chembe ya kukuonea wivu.maana kwanza hatufahamiani...pili hata tungefahamiana mimi najitosheleza.na ndo maana huwa sina mwambata au siendeshwi na mahaba.so mimi na wewe are two different people.na ninakubali ulivyo ndivyo ulivyo i dont wanna change you.hapana.dunia inapaswa iwe na watu aina zote....😁😁😁

Hapana GuDume hapa ndio umejirudi na kuandika kwa weledi kidogo.... Kule uliponda... Na sababu za kufanya hivyo ziko wazi ndio maana nimecheka sana
 
Uandishi wangu ni huu huu miaka yote.huwa naandika ninachojiamini.kule nlimponda jamaa kilaza ambaye anasema imetumika fasihi.niliona wazi kabisa ana aibisha taaluma za watu na anajidhilisha kuwa ni kilaza.mimi nmeona umeandika kawaida kwa namna yako.lako si fasihi au fasihi ya hali ya juu kama mdaiji alivyoandika.

Wasiwasi wangu kizazi hiki kisipoelewa mada kinasema imetumika fasihi.mwingine katika kutapatapa atasema imetumika code . Hii hali ya kuwa na kizazi kisichopenda kufikiri inaongeza mzigo kwa taifa hili.

But pia mimi sina sababu hata chembe ya kukuonea wivu.maana kwanza hatufahamiani...pili hata tungefahamiana mimi najitosheleza.na ndo maana huwa sina mwambata au siendeshwi na mahaba.so mimi na wewe are two different people.na ninakubali ulivyo ndivyo ulivyo i dont wanna change you.hapana.dunia inapaswa iwe na watu aina zote....[emoji16][emoji16][emoji16]
Kama unasimamia na kuamini ulichoandika kwa vitendo na kama unajua kuwa harufanani basi hukupaswa kumuita jamaa kilaza... Kwakuwa tafsiri yako si lazima iwe yake
Kwa mtazamo wake kaona ni fasihi iliyoshiba, kwa mtazamo wako umeona nimeandika kawaida... Kwanini umhukumu?
 
Back
Top Bottom