Mpe ukweli huyo!hisia zake asifanye ni za watanzania wote!Amua kusema MIMI na siyo SISI.
Una maoni ya watanzania wote juu ya Mh Rais?. Jifunze uandishi wa kutumia mantiki.
Mpe ukweli huyo!hisia zake asifanye ni za watanzania wote!Amua kusema MIMI na siyo SISI.
Una maoni ya watanzania wote juu ya Mh Rais?. Jifunze uandishi wa kutumia mantiki.
Kuijua Literature cyo lazma uingie drsn Mkuu,kuna watu Mungu aliwapa ufaham Wa juu sana kama zawad na we ukiwa ni miongoni mwaoLiterature ya kiwango gani?, Mimi mbona nimeelewa Na hiyo literature sijui Kama naijua
Pale unapoitaka sauti iongezwe kwa ala za music upendao..! Ukidhani kila mtu anafurahia, kumbe unaleta kero bila kujuaHivi alie chumbani na alie nje ya chumba nani anaona yachumbani..?
kama jinsi ambavyo picha kabla ya kuchorwa haikujulikana itakuwaje basi huenda hata muda ujao isijulikane itakuwaje!
sitahangaika hata kupaka rangi maana huenda nikaikoleza picha ikawa mbaya!
maumivu ya kusukwa ayasikiaye ni msukwaji na uzuri wa msukwaji auonae ni muangaliaji..!
wkt mkwere anasema bulldozer sidhani kama tulikuwa tumeziba maskio!
matokeo hayatukanwi.
Usiwalazimishe watu kumpokea shetani kuwa mwokozi wao.Mkubali mkatae ila Magufuli ni chaguo sahihi la watanzania. Hata yule ambaye hakumpa kura anatamani uchaguzi ufike ampe kura[emoji38][emoji6]
siasa ilikuwapo hata kabla ya Kristo na mtume Mohamadkwani siasa ni sehemu ya maisha ya mwanadamu? kwanini tusiwe na mambo mengine siasa tukaachana nazo?
Safari hii mzee wenu hamumtaki tena,,?2020 Lissu for president
Tujikumbushe maandiko matakatifuHofu kuu imetanda kwa viongozi aliowateua. Kila mmoja anajikomba haonekane ni bora kuliko mwenzake.
Viongozi wameweka ueledi pembeni na kuvaa unafiki.
Wacha ku generalize mambo wwMkubali mkatae ila Magufuli ni chaguo sahihi la watanzania. Hata yule ambaye hakumpa kura anatamani uchaguzi ufike ampe kura[emoji38][emoji6]
Nyingi tumetimiza,kumbe yule mropokaji wa Singida anajuagaa
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji144] [emoji144] [emoji144]tutaiba kura kupitia wakurugenzi wetu makada...
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Nyingi tumetimiza,kumbe yule mropokaji wa Singida anajuagaa
Rangi tayari zipo wazi....
BLACK... ishara ya Msiba wa Demokrasia
RED... ishara ya Hatari iliyopo kwa watu watakaokuwa chini ya ukandamizi wa mfumo kandamizi usio wa kidemokrasia!!!
Nenda fb maisha ya huku hayahitaji ubashite ndiyo maana kunaitwa kwa magreat thinkers.
Watakutuhumu uchochezi ,kama wamekuelewa lakiniNi movements zinazoenda kwa kasi ya aina yake but very well timed
Unafanya diversion hapa ili kuhamisha attention ya public kisha unabutua
Unahakikisha unajenga hofu kubwa kwa yeyote anayejaribu kwenda kinyume
Unajenga msingi wenye kingo imara kupitia teuzi za watendaji waliojawa hofu
Vipaza sauti vyote vya baraza la jamii ama vinatobolewa au kubondwabondwa kama si kufungiwa ghalani
Ukishindwa kuichora picha ya 2020 basi saidia hata kupaka rangi ili siku tukiibandika kwenye bango USISHANGAE
Sent using Jamii Forums mobile app