PICHA: Warembo wa JF kama nilivyonasa picha zao Facebook.....!

PICHA: Warembo wa JF kama nilivyonasa picha zao Facebook.....!

Mtambuzi umechemsha. Mie hutumia picha fake kama huku JF.
 
Last edited by a moderator:
Duh kweli JF ina warembo tatizo ni kwamba Smile anasema eti Wanaume wa JF hatujui kuhonga!!!! na ni wabahili
 
Heheheh Muzee ya kupiga kiwi ya macho naona umedondosha donge la sukari kwenye mkutano wa sisimizi...
 
I Lov u too my snowhite....

i-love-you-woman.jpg
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu umekosea uonavyo hizo picha wako hivyo ihivyo kasori rangi tu ila wenyewe wako hivyo hivyo bestito
nimegundua kitu jinsi Mtambuzi alivooanisha picha na hawa warembo in real life wako opposite, yaani ukiona hapo ameweka mwembamba basi ujue ni mnene in real life na ukiona ameweka mnene basi ujue ni mwembamba in real life.
Huu ni ugunduzi wangu tuu usiniulize evidence tafadhali, evidence anayo Mtambuzi menyewe.
 
gg.jpg

HEBU ANGALIA TENA USIJEKUWA NA MIMACHO KAMA HAYA YASIYOONA MBALI

mimacho.jpg


E=Jiwe Linaloishi;7752353]sijaiona nimeona hiyo tu wakati ulipokuwa kidoli cha ukweli[/QUOTE]
 
umezidi kulike watu bila kuwagongea neno

halafu hiyo tabia ya kuweka picha za WANAWAKE hapa jamvini
zitakutokea puani ngoja nami nianze kukuwekea hii hapa nimeitoa kule fb

View attachment 120064
hapa ulivyokuwa mdogo angalia ulivyokuwa unashangaa sana
mama yako alikupeleka CCBRT hospital ukarekebishwa na
kuwa hivi

rr.jpg

huyu ni Mtambuzi original kwa asiyemfahamu
ndo mwenywe huyo kwenye pozi la kijasusi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom