Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,718
- 13,435
Ila pozi la Asnam ​la kijanja sana.
Mtambuzi mbona wengine hujawaweka hapo? au unawabagua kwa sababu wanakwepa ule mtego wako wa business meeting kumbe unawatangoza.
ila uliowaweka wa ukweli... hongera zao
Nakumiss pia binamu yangu
Wazima wote huko?
Sisi ni mashombeshombe menHivi kumbe humu JF kumejaa chotara na mashombeshombe tu...
kumbe nawe umeliona hilo huyu mtambuzi ana ubaguzi wa rangi kabisa