snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,701
- 23,628
Alafu wewe duhh is like ulitumwa na Mungu uweke tabasamu usoni mwangu, hahahahahahahahahahahahaha kicheko nilichocheka ni cha haja bandugu. Kiingereza si mchezo. Hata mie nikikitumia huwa najifikiria mara mbili mbili nisije chekesha umma. haha sentensi inabidi kwanza ziundwe kichwani ndio uitoe hadharani chezeya wewe lugha ya malkia
ahahahahh ahsante kwa kukufanya utabasamu mwaya!Alafu wewe duhh is like ulitumwa na Mungu uweke tabasamu usoni mwangu, hahahahahahahahahahahahaha kicheko nilichocheka ni cha haja bandugu. Kiingereza si mchezo. Hata mie nikikitumia huwa najifikiria mara mbili mbili nisije chekesha umma. haha sentensi inabidi kwanza ziundwe kichwani ndio uitoe hadharani chezeya wewe lugha ya malkia
we twende tutavijua huko huko lol!
Ndo vinini hivyo!!!!!!!!!!!
twenzetu mwaya!
tukajirembeshe!
Ndo vinini hivyo!!!!!!!!!!!