PICHA: Vijana wanavyojua kubeba hatari

Hawajakosa nauli mzee baba hio mwamba imekamata deiwaka hilo container linaenda kupakuliwa mzigo wapukuaji ni wengi balaa so miamba huwa ina vizia few kilometers away ku secure kibarua ila kuna watu wanasema vijana

Watanzania ni wavivu

#minginetena
Nakubaliana na wewe. Inavyoonekana hao ni makuli, na hapo ni mwendo mdundo mpaka bandari.

Angalia kuna mmojawapo hapo kavaa Reflector.
 
Hawajakosa nauli mzee baba hio mwamba imekamata deiwaka hilo container linaenda kupakuliwa mzigo wapukuaji ni wengi balaa so miamba huwa ina vizia few kilometers away ku secure kibarua ila kuna watu wanasema vijana

Watanzania ni wavivu

#minginetena

Ddaaaahhh, basi bwana
 
Back
Top Bottom