Endo agar
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 487
- 335
Yuko sahihi,izo scenario huoni mara nyingi akitumia simu za wananchi zinakuwa hazina mtandao(Mpaka siku moja alikuwa anampigia katibu mkuu wizara ya maji,simu za wengine wote akasema hazina mtandao ikabidi jamaa wa suti ndo wampe simu yao).we jamaa liongo kweli, nimekufatilia unavompiga kama mwenzio!
kama mtambo unazima network zotez mbona kuna scenario kadhaa Raisi anawapigia simu mawaziri ama anamuamrisha waziri wa Maji amipigie simu Katibu mkuu wa wizara na maongezi yanawekwa loud speaker!!!
wewe ni pompoma.. Kiazi!!!