sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 4,925
- 12,436
Em nipe jina la huo mtambo nijifunze kidogo, hizo taarifa zinatoka kwanan? Wakat kunakua hamna network eneo hilo?
Jammer
Em nipe jina la huo mtambo nijifunze kidogo, hizo taarifa zinatoka kwanan? Wakat kunakua hamna network eneo hilo?
Nina hakika wanakua wamesha 'secure the area' na kuzima any possible threat
Akikujibu nitag mkuu maana kuna sehemu niliona njia ya kwenda airport Mwanza liliwapoteza directionUle mgari wenye ma.antena una kazi gani?
Ndio, network ya sim inakata ht km kuna mitandao hapo wanadiable kwa mda flani utaona km network haiko vizuri, taarifa anazopewa ni za hapo za kiserikali lkn
Unaweza kublock simu zote za hilo eneo. Na vitu kibao tafuta uzi wake upo
Huwezi kumdhuru kwa style hio uliyoitaja
Sasa hapo sniper anafanya headshot moja tu, kwishaaa sema bongo hizo mishe ni kwa kiasi kidogo sana. Am sure rais anaweza akapanda hat bus Mbeya Dar na akafika vizuri tu bila shidaSina shaka hata kidogo.View attachment 1084064
Asante mkuu.... ila ni jina tu.... mi ni domo zege balaa 😁Nimependa jina lako mkuu..huree
haiwezi zuia risasi kama zikiwa nyingi,hata ya trump haiwezi, hakuna gari yenye uwezo wa kuzuia risasi nyingi on the same direction ,pili kuna bunduki niliiona youtube risasi yake ikishafika sehemu inakua bomu inalipukaGari ni Bullet Proof si mchezo...... Urais raha sana
Ule mgari wenye ma.antena una kazi gani?
Mayb simu yake ni satelite phoneAcha upompoma basi.
mara ngapi tumeshuhudia raisi akiongea na simu, ama akimuarisha waziri Fulani ampigie simu katibu mkuu wa wizara maongezi yanasikika kwenye speaker. Hizo simu zinazozimwa ni zipi???
Hapo sejem ulisimama peke yako au ulikua na watu wengineBoss me huwa sifatilii izo dhiara za mkulu.... lakini mimi ni moja ya watu walio simama kwenye lile gorofa jeupe pale... na nafanya kazi pale... sijaona ulinzi wowote maeneo yale....