nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,054
Ni kweli wanakuwa wameshasecure, sio tu kusecure sehem ambayo mkulu atafanyia mkutano kuna kuwa na ulinzi siku moja kabla, hawa jamaa wako wengi na ratiba ya mkulu imepangwa tayali, fuatilia siku ukisikia mkulu atakuwa mahali flani fuatilia hao jamaa wavaa suti na makirikiri wanafika siku moja kabla na kuweka mambo yaoNina hakika wanakua wamesha 'secure the area' na kuzima any possible threat