Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,958
Nilijua kelele za BAVICHA ni ngoma ya watoto tu wala haitakaa ikeshe.
Wako wapi sasa? Wheelchairs zingewahusu leo.
Lumumba team mmeshawahi waza kwa nini mnataka BAVICHA wapambane na jeshi lao la ulinzi ?! Ningewaona wa maana kuwalinganisha BAVICHA na UVCCM !! Siyo askari aliyejihami na kila aina ya silaha na wananchi wa kawaida wasio na hata fimboPelekeni wale wanywa viroba wenu muone

