St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,195
Wacheza vigodoro hao
Huku umejifungia chumbani nyuma ya key board,nendeni Dom mkazuie mkutanoWao wana jeshi, sisi tuna Mungu.
Ninyi si mna jeshi lenu(red bregade) na mnaliamini kuliko hawa mnaowaita policcm!Hivi ungekuwa mkutano wa Chadema wangepatiwa ulinzi mkali kama huu?
Labda watangaze maandamano.
Kaka wanaona aibu kwa matendo yako ukiwa na soni ni vigumu kukutanisha macho na unayemtenda

Kwani rais si ana walinzi wake?hapo kuna raisi...so lazima ulinzi uimarishwe...usidhani kuwa cheo cha uraisi amekivua eti kwa sababu ni masuala ya chama
hivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi



















Fanya Fyokofyoko UoneTafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
UnitField force unity(FFU),
Field Force UnitTafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
HahahaaaMhurumie mkuu hao ndio waondolewa vyuoni kisa uelewa mdogo.
Kwani rais si ana walinzi wake?
hivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
Hiyo sio miwani, ni darubini zinazowaletea taarifa za kiintelijensia!hivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
N vizuri zaidi kuliko wakiwa hawana miwani, Co'z mtu aliyevaa miwani ni vigumu sana kumtambua ametolea Macho sehemu ganhivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
Fanya Fujo Uone(FFU)Tafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
Wao wana jeshi, sisi tuna Mungu.