Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

Kwahiyo hii nchi ni ya wenye madaraka?
Tatizo ni hofu na sio haki! Wanajua wazi kabisa wameko
Hivi ungekuwa mkutano wa Chadema wangepatiwa ulinzi mkali kama huu?
Labda watangaze maandamano.
Msihofu,HAKUNA MATIBABU AU DAWA KAMA HAKUNA UGONJWA, HAYA LAZIMA YATIMIE ILI BONGO ZA WATANZANIA ZIPATE UGONJWA NA DAWA PAMOJA NA KINGA ITAKUWA TAYARI 2020 KWANI KILA ALIYEUGUA UGONJWA HUU ATAKIMBILIA SANDUKU LA KURA KUCHUKUA DAWA NA KINGA
 
Lumumba team mmeshawahi waza kwa nini mnataka BAVICHA wapambane na jeshi lao la ulinzi ?! Ningewaona wa maana kuwalinganisha BAVICHA na UVCCM !! Siyo askari aliyejihami na kila aina ya silaha na wananchi wa kawaida wasio na hata fimbo

Nani kawataka BAVICHA wapambane na polisi?

Walisema wenyewe wataenda Dodoma licha ya polisi kutoa onyo.

Utalinganishaje BAVICHA na UVCCM ilhali mission na vision zao ni mbingu na ardhi?

Sidhani kama kazi ya UVCCM ni kupambana na magenge ya wahuni,wahuni hupambana na polisi.

BTW:Usikariri kwamba kila mtu humu ni team Lumumba,wengine TLP,UDP,ACT na wengine hatuna vyama.
 
Hivi hawa askari huwa wanaguswa na matatizo ya wa-tz?
 
Bora ukutane na jambazi lkn sio hawa jamaa wanaopga miwani mieusi..
 
Hakuna sababu wala faida nyingine yoyote zaidi ya hiyo kama ni miwani mwyeusi ya kawaida, na kama una picha ambayo wamevaa miwani mwyeusi ndani au usiku unaweza kuiweka hapa!
Wewe acha kujifanya unajua kila kitu,hutaki kukubali basi endelea tu kulala usingizi wa pono na maisha yako ya kukariri, huna ujualo kuhusu security personnel kuvaa Miwani myeusi.
 
Wanaiga nchi za wenzetu,wakati wenzetu wanavaa zikiwa na kifaa maalum chenye kazi special
Wewe ni mwehu hujui kwamba mambo mengi tunachukua toka kwa waliendelea zaidi yetu hata hizo bunduki hazijatengenezwa Tz na hiyo miwani inaletwa maalumu kwaajili yao wala sio ile ya kariakoo.Mi vema ukatafuta uhakika wa jambo kuliko kudanganya watu
 
1469217131555-jpg.369484

Naona Kuna Mageuzi ndani ya Polisi. Accessories zimeongezwa.
 
Wewe acha kujifanya unajua kila kitu,hutaki kukubali basi endelea tu kulala usingizi wa pono na maisha yako ya kukariri, huna ujualo kuhusu security personnel kuvaa Miwani myeusi.


Mimi nabisha kwa hoja sasa wewe bisha kwa hoja pia, Miwani myeusi ya kawaida kazi yake ni kulinda macho dhidi ya UV light au Mwanga wa Jua, sasa kama wewe unataka kupinga njoo na sababu yako na siyo kuandika tu bila ya kiambatanisho!
 
Watumishi wanaotumia Manual work huwa wanalipwa kiduchu saana ukilinganisha na wengine. FFU walistahili kulipwa zaidi maana wanatupigaga virungu kama wanalipwa milioni!
 
Back
Top Bottom