Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

Sijaona kikosi cha Bavicha apo... Au wameheshimu kauli ya mhe. wa Hai
 
Kishaija!! Ww sio mzima kichwani. Jeshi la polisi halina chama, kazi yao ni kulinda raia na mali zao nasi mkutano wa ccm..
nahisi wewe ndio mwenye matizo kama ni hivyo kulinda raia na mali zao vipi walivyozuia mkutano wa chadema
 
Dah! iyo bunduki aliyoshika ni latest weapon, kumbe na sisi bunduki za kisasa tunazo mi nilizoea kuonaga kwenye movies. Safi sana Gov.
 
Hii yote kisa bavicha? Yaani bavicha tu? Looh! Yakija masalia ya Osama je itakuwaje? Au wale wa kisasa Islamic State? Si ndo itatubidi kutumia mitondoo?
 
Hivi ungekuwa mkutano wa Chadema wangepatiwa ulinzi mkali kama huu?
Labda watangaze maandamano.
TUJIULIZE
1: Pale kuna marais na makamu wa rais wangapi wanahudhuria huo mkutano????

2: Mawaziri wakuu wangapi wanahudhuria huo mkutano??

3: Mawaziri wangapi,wakuu wa mikoa wilaya na wabunge wangapi wako pale????

KWA KIFUPI NIELEWAVYO VIONGOZI WOTE WA NCHI KWA SASA NA WASTAAFU WAKO PALE,LAZIMA ULINZI UWE MKALI MA MZITO....

HATA CHADEMA WAKICHUKUA NCHI NA KUUNDA SERIKALI NAAMINI WATAPATIWA ULINZI KAMA HUO KWANI KWENYE MIKUTANO YAO KUTAKUWA NA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WANAOPASWA KUPEWA ULINZI MKALI.....
 
  • Thanks
Reactions: ora
Back
Top Bottom