Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,540
- 1,546
Field force unity(FFU),Tafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
Field force unity(FFU),Tafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
Nadhani ni 'failed force unit'...Tafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
HII NDIO POLICCM WAZEE WA MATAMKO NA HISIA
Kishaija!! Ww sio mzima kichwani. Jeshi la polisi halina chama, kazi yao ni kulinda raia na mali zao nasi mkutano wa ccm..Wakibahatka kushika madaraka ndo watapata ulinzi kama huo.Kwasasa acha waisome namba tu!
Kwahiyo hii nchi ni ya wenye madaraka?
Hivi ungekuwa mkutano wa Chadema wangepatiwa ulinzi mkali kama huu?
Labda watangaze maandamano.
Wanaiga nchi za wenzetu,wakati wenzetu wanavaa zikiwa na kifaa maalum chenye kazi specialhivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
Field Force UnitTafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
ili wakiwa wanakupa doso wasikuone vizuri....!!!hivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
Ni kwaajili ya kuficha ili usione kama anakuona,hivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
usipende kuchangia upuuz watakuua hao jamaa lala kwenuWao wana jeshi, sisi tuna Mungu.
hivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
Field Force UnitTafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
Tafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU[/QUO
Field Force Unit
"failed".....??Nadhani ni 'failed force unit'...
Fuga fisi ulogeTafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU