hivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
Feed Force UnitTafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
Sio ffu tu, bali jeshi zima la polisi
Linahitaji attitude change.
We huna Mungu?usipende kuchangia upuuz watakuua hao jamaa lala kwenu
Hivi ungekuwa mkutano wa Chadema wangepatiwa ulinzi mkali kama huu?
Labda watangaze maandamano.
fitina fyatua umbeaTafadhar mwenye kujua kirefu cha FFU
Hivi unaweza kuwapatia ulinzi vibaka na wahuni?Hivi ungekuwa mkutano wa Chadema wangepatiwa ulinzi mkali kama huu?
Labda watangaze maandamano.
Well spokenKwahiyo hii nchi ni ya wenye madaraka?
Kama makomandoo vile!!