cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,879
- 1,631
Miwani wanayatumia kwa kuzuia jua kali. Na si vinginevyo.Ni kwaajili ya kuficha ili usione kama anakuona,
Coz kama hajavaa miwani nyeusi kuna sometimes unaweza kumuona kama katizama pembeni kidogo nawe ukatumia huo mwanya kutaka kufanya uhuni fulani,
Lakini akivaa miwani nyeusi hutoweza kujua kama anakuangalia wewe au anatizama kwingine.