Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,833
- 18,092
Hakika huu ndiyo ukweli wa mambo! Ukichukulia uwingi wa askari, magari ya washa washa, malori na karandinga za polisi zinazo randaranda mjini Dodoma hivi sasa unaweza kudhani nchi iko katika vita!
Jambo hili halikubaliki hata kidogo kwa ubadilifu wa fedha chache za sisi walipa kodi kuzitumia hovyo namna hii!
Sina hakika kama lengo la BAVICHA lilikuwa kuleta hasara kubwa namna hii kwa Taifa! Nashauri wakati mwingine BAVICHA watumie mbinu mbadala kuokoa fedha kidogo ili zitumike kwa maendeleo ya umma!
Jambo hili halikubaliki hata kidogo kwa ubadilifu wa fedha chache za sisi walipa kodi kuzitumia hovyo namna hii!
Sina hakika kama lengo la BAVICHA lilikuwa kuleta hasara kubwa namna hii kwa Taifa! Nashauri wakati mwingine BAVICHA watumie mbinu mbadala kuokoa fedha kidogo ili zitumike kwa maendeleo ya umma!