Na wewe unajua kwamba serikali iiltumia kiasi cha shillingi billioni 30 kujenga machinga complex..??! eenhee.., unajua hujui..??! lakini hawa wajinga wakagoma kwenda wakawa wanafanya biashara haramu chini ya lundo la kuni lililotayari kuwashwa moto na tena hata mashine za EFD walikuwa hawana.., shenz type.., yaan hata kodi hawataki kulipa.., huu ulikuwa ni mzigo kwa taifa.., stupid free loaders.., barabara zijengwe na nini na kodi hawalipi..??! sasa wataenda machinga complex na majivu yao.. stupid..! hivi unajua 30 billion tunajenga shule ngapi vijijini.., eennhe unajua..??! Usinletee mambo ya ki-mbwa hapa msengerema wewe..!!!!