Picha soko la karume baada ya kuungua

Picha soko la karume baada ya kuungua

Na wewe unajua kwamba serikali iiltumia kiasi cha shillingi billioni 30 kujenga machinga complex..??! eenhee.., unajua hujui..??! lakini hawa wajinga wakagoma kwenda wakawa wanafanya biashara haramu chini ya lundo la kuni lililotayari kuwashwa moto na tena hata mashine za EFD walikuwa hawana.., shenz type.., yaan hata kodi hawataki kulipa.., huu ulikuwa ni mzigo kwa taifa.., stupid free loaders.., barabara zijengwe na nini na kodi hawalipi..??! sasa wataenda machinga complex na majivu yao.. stupid..! hivi unajua 30 billion tunajenga shule ngapi vijijini.., eennhe unajua..??! Usinletee mambo ya ki-mbwa hapa msengerema wewe..!!!!
:what::what::what::what:
 
Unaishi nchi gani ndugu yangu? Unajua kama kwa tukio hili kuna watoto watakosa ada, chakula, matibabu, nk? Unajua kama kuna watoto watahamia mitaani? Unajua kama kuna wazazi watageuka wahalifu, majambazi, wauaji? Unajua? Hujui? Hakika umejilaani kwa maneno ya kinywa chako mwenyewe!!

Msafara Wa Mamba Kenge Nao Wamo Mkuu Huyo Aliye Jbu Ivo Apo Juu Ni Kenge Maji Kabsa Ina Uma Sana Apo Ukigeuza Ndo Imetokea Kwako Ina Uma Sana Jamani Mpaka Sijui Nielezeje Maumivu Haya Elezeki Mungu Awa Tie Nguvu, Inauma Sana,
But Ndo Mtihani Wa Maisha.
Wapige Moyo Konde Safar Bado Ni Ndefu,
 
Na wewe unajua kwamba serikali iiltumia kiasi cha shillingi billioni 30 kujenga machinga complex..??! eenhee.., unajua hujui..??! lakini hawa wajinga wakagoma kwenda wakawa wanafanya biashara haramu chini ya lundo la kuni lililotayari kuwashwa moto na tena hata mashine za EFD walikuwa hawana.., shenz type.., yaan hata kodi hawataki kulipa.., huu ulikuwa ni mzigo kwa taifa.., stupid free loaders.., barabara zijengwe na nini na kodi hawalipi..??! sasa wataenda machinga complex na majivu yao.. stupid..! hivi unajua 30 billion tunajenga shule ngapi vijijini.., eennhe unajua..??! Usinletee mambo ya ki-mbwa hapa msengerema wewe..!!!!

Uko sawa kabisa mkuu
 
Yataendelea kuungua hadi siku watanzania tunafungua macho
 
Na wewe unajua kwamba serikali iiltumia kiasi cha shillingi billioni 30 kujenga machinga complex..??! eenhee.., unajua hujui..??! lakini hawa wajinga wakagoma kwenda wakawa wanafanya biashara haramu chini ya lundo la kuni lililotayari kuwashwa moto na tena hata mashine za EFD walikuwa hawana.., shenz type.., yaan hata kodi hawataki kulipa.., huu ulikuwa ni mzigo kwa taifa.., stupid free loaders.., barabara zijengwe na nini na kodi hawalipi..??! sasa wataenda machinga complex na majivu yao.. stupid..! hivi unajua 30 billion tunajenga shule ngapi vijijini.., eennhe unajua..??! Usinletee mambo ya ki-mbwa hapa msengerema wewe..!!!!

Mkuu punguza hasira, ni kweli lazima familia zilizokuwa zinaendeshwa na shughuli hapo zitakuwa mashakani, mungu awajalie faraja. Sasa machinga complex iliyojengwa kwa kodi zetu ianze kutumika
C:c... ifweero, MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
itakuwa ni mikakati ya makusudu kuwaamishia Machinga Complex
 
Diplomasia inaletaga shida ....kule moshi na mbeya mbinu kama hiyo ilitumika na kufanikiwa kihamisha wafanya biashara....
 
Kiukweli nilipita pale kishuhudia sikuamini kama ndio pale nilipopita april. Peupe sana. Watu wana simanzi. Sababu ya moto hakuna ajuaye kila mtu anasema lake. Mungu pekee ndio anajua chanzo
 
Hao machinga walibweteka na siasa,wanaambiwa wahamie Machinga Complex hawataki.
Serikali ilitumia pesa nyingi kuwajengea jengo zuri ambalo hata hawastahili lakini wanaleta siasa,sasa tuone wataenda na nini na mitaji kwishney!

yaani hyo ndio iwe sababu ya kuchoma mali zao?serikali dhaifu
 
Ndo stahili yao mpya ya kuwaondoa wafanyabiashara ilianzia mbeya nw wameileta dar,hla ni dhambi kubwa sana coz kuna watu walikua wanaendesha biashara zao kwa mikopo
 
Diplomasia inaletaga shida ....kule moshi na mbeya mbinu kama hiyo ilitumika na kufanikiwa kihamisha wafanya biashara....

hii ilitokea kenya miaka ya 90, waligoma kuhama, baada ya vibanda vyao kuungua walipoanza kuvijenga upya wakaambiwa na serikali kuwa hilo eneo haliruhusiwi kujengwa.
 
Back
Top Bottom