Picha soko la karume baada ya kuungua

Picha soko la karume baada ya kuungua

Hapa sasa ndio ule mfuko wa vijana uanze kufanya kazi kwa kuwasaidia hawa vijana mitaji midogo mdogo ili wanusuru maisha yao, ama sivyo DSM hapatakalika kwa mbwa mwitu kuongezeka!!!
 
Na wewe unajua kwamba serikali iiltumia kiasi cha shillingi billioni 30 kujenga machinga complex..??! eenhee.., unajua hujui..??! lakini hawa wajinga wakagoma kwenda wakawa wanafanya biashara haramu chini ya lundo la kuni lililotayari kuwashwa moto na tena hata mashine za EFD walikuwa hawana.., shenz type.., yaan hata kodi hawataki kulipa.., huu ulikuwa ni mzigo kwa taifa.., stupid free loaders.., barabara zijengwe na nini na kodi hawalipi..??! sasa wataenda machinga complex na majivu yao.. stupid..! hivi unajua 30 billion tunajenga shule ngapi vijijini.., eennhe unajua..??! Usinletee mambo ya ki-mbwa hapa msengerema wewe..!!!!


Thamani ya hayo majengo ya Machinga Complex haiwezi kufikia Bill. 30 ; hizo ni figures hawa magamba walizitumia kukomba fedha zetu za akiba yetu ya uzeeni pale NSSF kwa ajili ya uchaguzi!!! Kumbuka haya majengo yalijengwa haraka haraka bila kufanyiwa appraisal makini hivyo kuwa mradi wa hasara yaani usiojilipa!!! Inawezekana kabisa kuwa huu moto ni hujuma ya serikali ya magamba kuwafanya hawa wafanya biashara wahamie kwenye WHITE ELEPHANTS zao; hawa magamba are capable of doing such heinious acts!! Hii ni serikali ya wahuni.
 
Daa.., yaan pamekuwa safi kweli.., hata siamini.., angalau sasa panaweza pakajengwa kitu cha maana hapo.., maana lile lundo la kuni lilikuwa ni shiidaa kwa miaka mingi sana..,atleast sasa..daa..

So the incidence was planned? am just asking!
 
yaani hyo ndio iwe sababu ya kuchoma mali zao?serikali dhaifu

Ingekuwa wewe ndio mwenye dhamana ya nchi hii ungechukua hatua gani?kuwapiga virungu na mabomu ya machozi?
Subiri hata hii Dar hatuombei majanga yatokee lakini siku yakitokea watu watakufa na mali zao kupotea tutasikitika sana lakini ndio utakuwa mwisho wa ujenzi makazi holela kwa watakaosalimika.
 
Ingekuwa wewe ndio mwenye dhamana ya nchi hii ungechukua hatua gani?kuwapiga virungu na mabomu ya machozi?
Subiri hata hii Dar hatuombei majanga yatokee lakini siku yakitokea watu watakufa na mali zao kupotea tutasikitika sana lakini ndio utakuwa mwisho wa ujenzi makazi holela kwa watakaosalimika.

yaani nyinyi mmekaa kazi yenu kuropoka t wasengerema nendeni mkaangalie wat tunajenga tena mpaka mtuue ndo hatuuzi maku nyie
 
Back
Top Bottom