Picha: Samuel Sitta amenihuzunisha


Nyerere ni sehemu ya hili tatizo, soma Historia pande zote mbili - hawa wote unaowaona sasa hivi kwenye CCM na serikali katika ngazi za juu ni vijana wa TANU Youth League!!
 
Hapo napo kajitakia..........si angebaki tu kwa Magreth akajipumzikia.
 
Kwani ugonjwa wa mkuu wa kaya haumuruhusu kutembea safari ndefu.
Basi tutaokoa pesa nyingi.
 
Nyerere ni sehemu ya hili tatizo, soma Historia pande zote mbili - hawa wote unaowaona sasa hivi kwenye CCM na serikali katika ngazi za juu ni vijana wa TANU Youth League!!

Nyerere ndiye anatuchagulia hawa jamaa?
 
Hizo ni mind games tu wakuu hakuna haja ya kusononeka sana.
 


Hii picha kila nikiiangalia na nikimuangalia Mh Samuel Sitta anavyowaangalia wenzake kwa hasira baada ya kumtenga kwenye majani na kwenye kiti cha peke yake wenzake wako kwenye red carpet roho inaniuma, kama mbwai mbwai tu na ndoa ivunjike

Duh! Hii picha nzito sana. Yawezekana hawakumaanisha, ila kwa sisi wengi inatuletea meseji ya ajabu.
 
Uhuru amekaa kama ZUZU. Sitta kama PIMBI.

Sidhani kama kuna haja kuitafakari hiyo picha sana. Hatuelewi nani mkosaji. Vipi ikiwa ni Sitta alichelewa, kama ilivyo kawaida ya maCCM?
 
Duh! Hii picha nzito sana. Yawezekana hawakumaanisha, ila kwa sisi wengi inatuletea meseji ya ajabu.

Barafumoto....Wataalamu wa saikolojia na biolojia walitafiti kujua yaliyomo moyoni mwa mtu [MINDS] kama HAONGEI je tutajuaje nini kinaendelea kichwani kwake.Watafitihao wakaibuka na kitu kinaitwa BODY LANGUAGE.

Tunachokiona hapo kwenye picha hiyo ni BODY LANGUAGEYA KILA MKMOJA WAO NA MATENDO KUPITIA MATERIALS HIZO ZILIZO WAZUNGUKA.

Ukitizama kuanzia material alizokalia Mzee Sita na Setting ya kiti chake, njoo utizame body language ya Mzee Sitta HAYUKO COMFORTABLE na eneo husika.Lakini tizama kaa ya wenzie na setting yao ya ukaaji na BODY LANGUAGE utaona dhahili wako Shwari na hali hiyo ya upiga picha huo.Hivyo hoja yako mkuu hapana ...........wachina wao wakaenda mbali wakasema picha huwa inaongea,hivyo tunavyoina na kuitolea tafsiri ndicho kilichotekea hayo mengine Mbwembwe.
 
Dhambi ya kuwasaliti watanazania.
Ila tunatakiwa tujue kuwa alikuwa anawakilisha Tz, sidhani kama alienda kama yeye au chama. Ila kama alikuwa anawakilisha chama, POA tu, hata kwenye mkeka wangemkalisha tu!
 

Na wanavyojua kusafiria nyota ya Nyerere hawa wanafiki utashangaa, kila inapokaribia uchaguzi au jambo muhimu wanajidai kumuenzi na kutangaza hotubavza mwalimu, wapuuzi sana.
 
Ila tunatakiwa tujue kuwa alikuwa anawakilisha Tz, sidhani kama alienda kama yeye au chama. Ila kama alikuwa anawakilisha chama, POA tu, hata kwenye mkeka wangemkalisha tu!

Kwani huwa wanajali wao mambo muhimu ya taifa hili, ona walivyoharibu katiba wakiongozwa na hili nafiki. Wangelipa choo likalie, ndio linastahili.
 

we acha masihara huyo wa kulia ni rais wa wapi na huyo mwana mama ni rais wa wapi hapo marais watatu tu na viti vitano why tanzania tukalishwe kwenye majani
 
Nyerere akiwa kijana kabisa aliwahi kubishana na Kwame Nkrumah hadharani kutetea msimamo wake kwenye mambo kama haya ya intergration na akashinda,na kuna story tunasikia kuwa malkia alivaa groves kumsalimia na JK (original) akampa kifimbo sijui kama ni kweli,hata kama sio kweli but hiyo yote ni kutaka kuonyesha jinsi utawala wa Nyerere ulivyokuwa na ile jeuri ya kutopenda manyanyaso hata kama ni masikini
 
Reactions: DSN
Yaani mkiambiwa hao CoW ni wabaguzi mnabisha.Sasa hebu ona hata kiti tu wamempa cha rangi tofauti na wenzie.Yeye wamemuweka kwenye majani.Hii kitui shauri yao.SittA Akiwa Raisi au waziri mkuu uchaguzi wa mwakani hivi nyuso zao hao wakenya watazipeleka wapi? S i ndio itakuwa Tanzania inasema bye bye EAC?

Huyo mtu wa protocol wa Kenya INABIDI AFUKUZWE KAZI.Picture kwa tuliosomea kwa undani mambo ya picture reading it speaks a lot.
 
EAC nchi zipo tano, viti vya kwenye zuria vipo vitano. Sasa huyo mwingine huko mwishoni aliekalia kiti cha mwakilishi wa nchi tuseme yetu ni nani? Yaani ni dharau za wazi kabisa dhidi ya Tanzania. Putini wa Urusi haki ya nani asingekubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…