Hapo mwisho umejijibu mwenyewe! Siyo kwamba tunadharauliwa na Jirani zetu wa EAC tu bali hata huku Kusini hatuna ushawishi tena wa enzi hizo za Mwl. Nyerere. Wachawi ni sisi wenyewe tusimtafute mchawi nje ya Tanzania. Tusiendelee kuishi kwa nyota ya Mwl. Nyerere wakati tunachagua watawala wa hovyo na wajinga!
Mwenye tai nyekundu na mwanamama wanawakilisha nchi zipi?
Nyerere ni sehemu ya hili tatizo, soma Historia pande zote mbili - hawa wote unaowaona sasa hivi kwenye CCM na serikali katika ngazi za juu ni vijana wa TANU Youth League!!
Hii picha kila nikiiangalia na nikimuangalia Mh Samuel Sitta anavyowaangalia wenzake kwa hasira baada ya kumtenga kwenye majani na kwenye kiti cha peke yake wenzake wako kwenye red carpet roho inaniuma, kama mbwai mbwai tu na ndoa ivunjike
Duh! Hii picha nzito sana. Yawezekana hawakumaanisha, ila kwa sisi wengi inatuletea meseji ya ajabu.
Ila tunatakiwa tujue kuwa alikuwa anawakilisha Tz, sidhani kama alienda kama yeye au chama. Ila kama alikuwa anawakilisha chama, POA tu, hata kwenye mkeka wangemkalisha tu!Dhambi ya kuwasaliti watanazania.
Hapo mwisho umejijibu mwenyewe! Siyo kwamba tunadharauliwa na Jirani zetu wa EAC tu bali hata huku Kusini hatuna ushawishi tena wa enzi hizo za Mwl. Nyerere. Wachawi ni sisi wenyewe tusimtafute mchawi nje ya Tanzania. Tusiendelee kuishi kwa nyota ya Mwl. Nyerere wakati tunachagua watawala wa hovyo na wajinga!
Ila tunatakiwa tujue kuwa alikuwa anawakilisha Tz, sidhani kama alienda kama yeye au chama. Ila kama alikuwa anawakilisha chama, POA tu, hata kwenye mkeka wangemkalisha tu!
Guys...naona kila mtu analalamika hapa kuhusu mzee Sitta. Sitta kaomba kupiga picha na hiyo delegate...the only option was for him to move with his chair na akajibanza hapo. Wageni wote walikuwa na type ya viti vya Sitta except marais
Kabla ya kulaumu tuwe tunajiuliza kwanza!!
Nyerere akiwa kijana kabisa aliwahi kubishana na Kwame Nkrumah hadharani kutetea msimamo wake kwenye mambo kama haya ya intergration na akashinda,na kuna story tunasikia kuwa malkia alivaa groves kumsalimia na JK (original) akampa kifimbo sijui kama ni kweli,hata kama sio kweli but hiyo yote ni kutaka kuonyesha jinsi utawala wa Nyerere ulivyokuwa na ile jeuri ya kutopenda manyanyaso hata kama ni masikiniView attachment 210433
HUYU NI BABU YAKE NA SAMWEL SITTA ALIKUWA ANAITWA MTEMI SAID FUNDIKIRA AKA SULTAN SAID
''Alitawala kuanzia mwaka 1917 mpaka 1927. Alifanikiwa kuwashawishi watemi wengine wa kanda ya magharibi kuchanga pesa, mifugo na mali nyingine ili kupata pesa za kujenga shule mbili za Tabora Boys na Tabora Girls.
Na yeye akatoa ardhi ya kujenga shule hizo kwa kuwa eneo hilo lilikuwa chini ya himaya ya Ikulu ya Unyanyembe. Vile vile Mtemi Said alikuwa mkarimu mno kiasi kwamba mtu akiunguliwa na nyumba yeye alimjengea nyumba mpya na kumpa chakula cha kumtosha kwa mwaka mzima................................................
Yeye aliondolewa madarakani na wakoloni wa kiingereza baada ya kuwa hapeleki serikalini kodi aliyotoza wananchi, inasadikika alitumia pesa hizo kusaidia masikini. Hivyo kwa heshima na upendo aliyokuwa nao kwa wananchi wake wakoloni wa Kiingereza walilazimika wasimfunge jela ila walimuondosha Itetemia na kiti chake akakitwaa Mtemi Kiyungi II huyu alikuwa mtoto wa Mtemi Isike Mwana Kiyungi.''
Hivi Jeuri ile ya Fore Fathers [Ancestors] Kama hawa ilipotelea wapi jamani hizo damu zimebadilika vipi tunapitia hatua kama walizopitia Wahenga huku tushakuwa huru toaka 9/dec/1961. Wao pasipo Uhuru hawakukubali KUMNYENYEKEA MKOLONI..........IWEJE LEO MZEE SITA NA VIONGOZI WENGINE TUKO HURU TUNAPOTEZA HESHIMA!!!!!!!!!!!!
Haikuwa stuli/meza ya kuwekea keki kweli hiyo aliokalia..? Kwani Mzee wa kuzindua hakuwapo kumuwakilisha le professeur hapo..?
EAC nchi zipo tano, viti vya kwenye zuria vipo vitano. Sasa huyo mwingine huko mwishoni aliekalia kiti cha mwakilishi wa nchi tuseme yetu ni nani? Yaani ni dharau za wazi kabisa dhidi ya Tanzania. Putini wa Urusi haki ya nani asingekubali.Guys...naona kila mtu analalamika hapa kuhusu mzee Sitta. Sitta kaomba kupiga picha na hiyo delegate...the only option was for him to move with his chair na akajibanza hapo. Wageni wote walikuwa na type ya viti vya Sitta except marais
Kabla ya kulaumu tuwe tunajiuliza kwanza!!