Hujakosea kumpa sifa huyo dada japo kuna mapimbi wamepanic sasa sijui walitaka useme jamaa ana mke mbaya!...wastara mkali!narudiajamaa ana mke mkali.
jamaa ana mke mkali.
Is it all you can say!? something wrong kwenye mfumo wako wa Ubongo na utambuzi.
Pumba Express!!Matola wewe ndo una tatizo! Kwani uzuri/ukali wa mwanamke hukoma kuonekana na kusifiwa pale anapoolewa tu?
Mke wa Sajuki ni mkali na kwa namna alivyom-handle mumewe ktk kipindi hiki kigumu inamfanya awe mkali zaidi..
jamaa ana mke mkali.
mkuu we ndo huwa unaongea sana pumba,unajifanya una busara kumbe pumba 100%Pumba Express!!
Hivi mtoto wa kiume kutumia Avatar kama ya kwako unatutumia ujumbe gani?mkuu we ndo huwa unaongea sana pumba,unajifanya una busara kumbe pumba 100%
Uanaume..then rudi kwenye topicHivi mtoto wa kiume kutumia Avatar kama ya kwako unatutumia ujumbe gani?