KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Bado ninahitaji kuelemishwa mkuu kwa suala hilo la Rwanda kuwa na uchumi mkubwa kuzidi maeneo kama hayo ya nchi yetu, pamoja na kwamba, huenda Katiba yetu ni sehemu ya tatizo hilo.
Nitafurahi kupata darasa toka kwa yeyote.