Picha: Rais Samia akiwa kwenye kiwanda cha Volkswagen nchini Rwanda

Rwanda imepiga hatua kubwa sana ktk teknoloji kuliko Tanzania, shida ni nn wakati tunao mawaziri na watendaji wasomi wazuri, jamani shida ni nn?
Viongozi tunawaomba muwe wazalendo wa kweli, Igeni maendeleo yanayo fanywa na nchi jirani, acheni kujigungia, badikeni kuweni wabunifu.
watanzania tu gependa kuona maendeleo kama hayo tunayo yashudia kwa jirani zetu.wanyatiwanda, tumeshuhudia kiwanda cha simu n.k.
kwa nn tunashindwa wakati nchi yetu ina urafiki ina urafiki na mataifa yenye tecknolojia ya juu kama china n.k, tuingize tecknolojia,
Hatua kubwa ipi? Ku asseble hayo magari au? Hujui Rwanda ni LDC?
 
..Kikwete na Magufuli ndio waliopata uongozi nchi ikiwa stable kiuchumi na ikiwa na budgetary flexibility ya kutekeleza vipaumbele vya nchi.

..Ukiangalia miradi ya Magufuli kama ujenzi wa makao makuu Dodoma, na ununuzi wa ndege, ni miradi gharama kubwa sana kwa uchumi mzima wa Tanzania.

..Unajiuliza what if badala ya kujenga maofisi na majumba ya kifahari Dodoma, angeelekeza fedha hizo kwenye sekta za zabibu, alizeti, na mifugo, hapo Dodoma, matumizi hayo yangeinua maisha ya wananchi wangapi?

..Pamoja na trillion 2 tulizotumia kununua ndege bado kila mwaka inabidi tubebe mzigo wa hasara ambayo ni billions of shillings.

..Kwa hiyo kwa Kikwete tulipata hasara kutokana na ufisadi, kwa Magufuli tulipata hasara kwa matumizi ya fedha yasiyo na busara.
Tatizo siyo ma Rais wetu...Tatizo wasomi wetu wengi wapo so abstract na elimu yao hawawezi kui translate kwenye development. Kisha wengi hawaendi huko kwa objective ya kujenga nchi kwakua wametoka kwenye background ya abject poverty na walipo wanaishi under relative poverty kwahiyo mara zote kutokana na uncertainty wapo busy kutunga miradi ambayo itawapa wao cash zaidi kama ziara zisizo na tija, wakijishighulisha lakini lengo ni kutunisha hazina zao ili waondoke kwenye poverty line...Kisha governance yetu imejaa bueracracy ya ajabu inayozidisha transaction costs...Kifupi wanapanga mipango ya kutumia seed money kwenye personal agenda kuliko kuitumia katika kuongeza ukubwa wa uchumi ili uchumi ukiongezeka na wao wafaidike...Hii ya kufaidika siyo rahisi kwa yule anayeweka misingi maana benefits huja wakati tayari wakiwa wameshaondoka kwenye nafasi zao. So unless wahakikishiwe life after office (hao viongozi) na kuwe na positive and normetive frames za monitoring and evalution, kisha penalty zisiwe na patronage, kuondoka kwenye hii statuquo will be a nightmare!

Ipo tumaini, kama kizazi cha hawa waliopo (ambao baba zao na mama zao wana atleast something na hawana high dependency kitoka kwa extended family) wakifanikiwa katika uongozi na wakawa na good training both ni practices na in characters pengine tutayabadili haya...Well Mungu bado anaweza yote na yenyewe ni option nyinngine haya yote yakishindikana. Hivyo basi, tumwombe atuletee mtu kama JPM mwenye uthubutu lakini pia asiwe na extremity katika utendaji wake i.e an empathetic leader
 
Kagame anaonekana yuko vizuri kichwani kawazidi hawa jamaa wengine, hata mambo ya ndani kwetu anaweza kuwa anayafahamu vizuri tu ila anazuga kumuuliza Samia habari za alikotoka.
Anayoyajua ni machache sana na sio ya muhimu asiyoyajua ni mengi sana
 
Sasa tumeona nani anatekeleza Sera ya viwanda Tanzania
Rwanda sasa wana assembly Volkswagen
Rwanda ana assembly smartphone

Katumia vzr fusa za madini ya RDC
 
Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na mwenyeji wake Rais wa Rwanda Paul Kagame, baada ya kumaliza ziara ya kutembelea kiwanda cha kisasa cha magari ya Volkswagen kilichopo Kigali Special Economic Zone chenye uwezo wa kutengeneza magari aina 6 tofauti.
View attachment 1879250

Laah!. Kama vile namwona vasco da gama, karudi kwa kupitia dirishani vile !!!!!!!!!!!!!!. Teramont, Oyeeeeeeeeeeeeee!.
 
Hili jambo huwa ninaliwaza sana na kunikosesha raha.

Mwanza, au mikoa mingine ya hapa Tanzania, au hata chukulia ukanda wa mikoa tu, kwa mfano Kanda nzima ya Ziwa.
Kwa nini Rwanda iwe na uchumi mkubwa kuzidi wa eneo zima la nchi yetu?

Labda wachumi na wengine wanaweza kulieleza vyema jambo hili.

Huwa linanikera sana!
Kalamu1 unauliza swali ambalo una majibu nalo.

Katiba mpya ni lazima
 
Kagame anaonekana yuko vizuri kichwani kawazidi hawa jamaa wengine, hata mambo ya ndani kwetu anaweza kuwa anayafahamu vizuri tu ila anazuga kumuuliza Samia habari za alikotoka.
Huyo jamaa alichosomea Ni spying na ndio Maisha yake yote ameishi akifanya hivyo.Ila pia ubalozi ulioko nchi yoyote Ile kazi yake mojawapo Ni ku spy nchi nyingine kihalali(kiuchumi,kisiasa,kiusalama) na ki vyovyote vile.

So jamaa anajua mambo mengi kutuhusu na sisi tunajua mambo mengi Sana yanayomhusu.
 
Lakini hizi ndege ni juzi tu zimenunuliwa?

Huko nyuma je?

Nadnhani kuna umuhimu wa kulitazama hili swala kiundani zaidi sababu zake, maanake hapa ndipo panapoweza kuwa mwanzo/mwisho wa kukosa maendeleo ya haraka nchini mwetu!

Nafahamu CHADEMA wana jibu juu ya sera yao ya MAJIMBO. Lakini sera hiyo kwa bahati mbaya mimi hainivutii kabisa. Pengine nikipata somo la maana nitaelewa!
1. Waliua viwanda ili wachuuze bidhaa zao kutoka china na India.

2. Waliua reli ili magari yao ya mzigo, abiria na matank ya mafuta yasafirishe bidhaa hizo.

3. Wanaweka vipaumbele kwenye maeneo ambayo wanaweza kupata fursa ya kuiba.

Nani awekeze kwenye kilimo wakati wakulima hawana manufaa yoyote kwao tofauti na kuhalalisha uchafuzi kila miaka mitano?

Unataka wajenge kiwanda cha mbolea ili tender za kuingiza mbolea wasipate 10% ?

Unataka waanzishe kiwanda cha magari ili wasipige 10% kwenye uagizaji wa magari ?

Kama sera ya majimbo ni mbovu tuongeze devolution kidogo ili wilaya huko ziwe na mapato mengi utaona tunavyokimbia Shaaa hasa wakurugenzi na wakuu wa wilaya wakiwa wanaajiriwa on merit siyo kwa uzuri wa chupi na connection.
 
..Kikwete na Magufuli ndio waliopata uongozi nchi ikiwa stable kiuchumi na ikiwa na budgetary flexibility ya kutekeleza vipaumbele vya nchi.

..Ukiangalia miradi ya Magufuli kama ujenzi wa makao makuu Dodoma, na ununuzi wa ndege, ni miradi gharama kubwa sana kwa uchumi mzima wa Tanzania.

..Unajiuliza what if badala ya kujenga maofisi na majumba ya kifahari Dodoma, angeelekeza fedha hizo kwenye sekta za zabibu, alizeti, na mifugo, hapo Dodoma, matumizi hayo yangeinua maisha ya wananchi wangapi?

..Pamoja na trillion 2 tulizotumia kununua ndege bado kila mwaka inabidi tubebe mzigo wa hasara ambayo ni billions of shillings.

..Kwa hiyo kwa Kikwete tulipata hasara kutokana na ufisadi, kwa Magufuli tulipata hasara kwa matumizi ya fedha yasiyo na busara.
Na yote hayo yanachangiwa na udhaifu wa bunge.

Na udhaifu huo wa bunge ni wa kikatiba na si vinginevyo.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom