JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
anapendeza kweli...
Ha ha ha ha
anapendeza kweli...
Kelele za mlango..................
Anapendeza kwani yeye yuko huko kwa ajili ya kupendeza?
Jamani hiyo ndiyo protocol ya ziara rasmi ya kikazi!!! Sasa ulitaka iweje mkuu?
''Mwanajeshi'' wetu mbona ''marching'' yake haiendani na hao wanajeshi wengine?.......left....right......left......... right
Huyu ni rais wetu tuliomuweka Ikulu sisi wenyewe kwa kura zetu , kama mnampenda hamumpendi anamaliza 2015 tutachagua rais mwengine. Kwa sasa shime wananchi tumpe support rais wetu amalize muda wake. Maana kuna wengine hata wakiona picha rais anakunywa maji wanakasirika eti kwanini rais anywe maji kwikwikwikwi .
Kwa hiyo tulimchagua atimize muda au wajibu na majukumu yake? HATUWEZI KUACHA KUMSEMA kama hatofanya yale yanayopaswa kufanywa na RAIS katika hali ya kawaida ikiwemo kutimiza wajibu na majukumu yake ipasavyo. Na tunafanya haya ili huyo ajaye asije kuwa kama yeye na wala si chuki na yeye.
Sasa kuna makosa gani rais kufanya Ziara nchi za nje kwenda kuzungumza na mataifa mengine.
Huoni kama hizo ni learning opportunities kwa Mr Presient na delegation yake?
Kwa hiyo tulimchagua atimize muda au wajibu na majukumu yake? HATUWEZI KUACHA KUMSEMA kama hatofanya yale yanayopaswa kufanywa na RAIS katika hali ya kawaida ikiwemo kutimiza wajibu na majukumu yake ipasavyo. Na tunafanya haya ili huyo ajaye asije kuwa kama yeye na wala si chuki na yeye.
Yeah, anakwenda kufanya modeling lazima apendezeSasa unataka raisi asipendeze wakati anakuwakilisha nje?
Subirini rais wenu kivuli Slaa ambaye atakuwa anafanya Ziara za Arusha-DSM tu! teh teh teh