Amependa,nchi hyo walizuia uvaaji wa namna hyo yeye imekuaje amevaa kwa makusudi?kajitakia tu mwenyeweKwann wanamdhalilisha ma wa watu maksini ila umesema police wanamlazimisha kuvua bukta?
Utii wa sheria bila shuruti. Kwao ni sheria. By the way hayo mazingira ya beach alienda kufanya nini iwapo hoja ni kujisitiri?Udhalilishaji huu
Kama sio gaidi kwanini ujifiche USO?
uliona wapi gaidi kavaa hivyo?Kawaida hiyo! Usalama wa raia kwanza, dini baadae!
Kwani hata magaidi HUVAA hivyo..!
Uliona wapi bichi wanaenda hivyo?uliona wapi gaidi kavaa hivyo?
mavazi ya beach ni maamuzi ya mtu binafsi hakuna sheria ndio maana huko huko uzunguni kuna beach za kukaa uchi kabisa kwa hyo usikariri vitu,Uliona wapi bichi wanaenda hivyo?
mavazi ya beach ni maamuzi ya mtu binafsi hakuna sheria ndio maana huko huko uzunguni kuna beach za kukaa uchi kabisa kwa hyo usikariri vitu,
Si urudi kwenu? Most likely hao ni waislamu wahamiaji. Ukiona havikuelei rudi kwenu ukatimize nguzo za dini yako. Hapa ni kwao, utaishi wenye nchi wanavyotaka!Udhalilishaji huu
wanahofia utamaduni wao kumezwa na huo utamaduni wa kuvaa hijabu.Kwa nn hii kitu? Wamepotoka au kunakitu wanahofia?
unaweza kwenda vyovyote ila ukitaka kuogelea ndio utavua mdauOk, unaweza kwenda binchi hata na suti