Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 478
Balozi wa Tanzania Nchini Ufaransa Mhe. Ali Jabir Mwadini amewasilisha nakala ya Hati ya Utambulisho kwa Naibu Mkuu wa Itifaki, Wizara ya Ulaya na Mambo ya Nje nchini Ufaransa Bw. Mathieu Carmona, tarehe 17 Oktoba, 2023.
Katika mazungumzo yao Bw. Carmona ametambua uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Ufaransa na kuahidi kumpatia Balozi Mwadini ushirikiano wa kutosha. Aidha, Balozi Mwadini naye ameahidi kuendeleza ushirikiano mzuri uliopo baina ya Tanzania na Ufaransa.
Katika mazungumzo yao Bw. Carmona ametambua uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Ufaransa na kuahidi kumpatia Balozi Mwadini ushirikiano wa kutosha. Aidha, Balozi Mwadini naye ameahidi kuendeleza ushirikiano mzuri uliopo baina ya Tanzania na Ufaransa.