Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 486
Je, mawasiliano ya simu yapo. Namaanisha kuna mtandao wa simu unaotoa huduma huko kwa babu?
Mawasiliano yako kama km 17 goka kwa babu. Ukitoka njia panda pale kwenye container ukifika kwenye kona ya pili karibu na tenki la maji na josho la mifugo kuna kibao kinaonyesha km 25 kwa Mchungaji, baada ya hapo kama kilomita tano kuna signal za simu. Baada ya hapo hakuna mawasiliano tena.