Picha na maelezo: Kikao cha Marafiki Wa Regia BC

hii ndiyo njia nzuri zaidi ya kumuenzi mpendwa wetu Regia.Mungu awabariki wote na kuwapa moyo huo huo hata tufikirie na kuenzi mambo mazuri yanayofanywa na hata watu ambao wapo hai bado.
 
Kuna watu wanasikitisha sana katika hiyo picha kuliko marehemu aliyetangulia. Poleni sana.


Tehetehetehete!!! umenchekesha san, kuna watu kwenye picha wanasikitisha kuliko marehemu alie tangulia, Inamaana kuna marehemu wengine hawajatangulia? Hivi Regia alikuwa anasikitisha?
 
It's good kwa lililofanyika. Binafsi napata shida na muendelezo wa maazimio hasa kutokutekelezeka kwake. Wako akisha toka (kufa) ndio mwisho hivyo, mara nyingi ahadi na sifa kedekede utolewa kwa kuwafariji ndugu na jamaa lakini hazipiti siku ata njia watabadili. Nasema hili kwa uzoefu binafsi (kufiwa na ndugu zangu) pamoja na viongozi wengine (Sokoine, Chacha Wangwe,Amina Chifupa...).

Let me hope for the good. IN GOD WE TRUST.
 
attachment.php
oi...Nanihii hujambo wewe za siku eeh!
 
Waswahili bwana, tukipewa jukwaa la kuchambua mtz mwenzetu, basi kasoro zitafika milioni, jamani tuwe wastaarabu ktk michangu yetu kwenye hizo picha
 
Binafsi nilimpenda sana Regia na kwa kweli ameniachia pengo kubwa sana la faraja ingawa nimeshakomaa vya kutosha kutambua kuwa mapenzi ya Mungu lazime hutimia, na kazi yake haina makosa. Kwa kuanzia, nitachangia hiyo Foundation ya kumbukumbu ya Regia kwa dola mia mbili, halafu tutajuana huko mbele ya safari kadiri itakavyofanya kazi. Nitatuma mchango wangu ama kwa Max au kwa Sanctus kwa vile wao waliwahi kupokea michango yangu huko nyuma.
 
Nawapa hongera wote walioshiriki na kujadili kwa kina hadi kupata taarifa iliyotulia. Huu uwe ni mwanzo mzuri wa kuyasimamia na kuyatekeleza kwa moyo kama yalivyoanishwa kwenye taarifa.
 
Binafsi nilimpenda sana Regia na kwa kweli ameniachia pengo kubwa sana la faraja ingawa nimeshakomaa vya kutosha kutambua kuwa mapenzi ya Mungu lazime hutimia, na kazi yake haina makosa. Kwa kuanzia, nitachangia hiyo Foundation ya kumbukumbu ya Regia kwa dola mia mbili, halafu tutajuana huko mbele ya safari kadiri itakavyofanya kazi. Nitatuma mchango wangu ama kwa Max au kwa Sanctus kwa vile wao waliwahi kupokea michango yangu huko nyuma.

God bless you.
 
Mungu awabariki sana kweli hivyo mtakuwa mnamuenzi na mnayyaenzi yale aliyokuwa akiyasimamia kwa vitendo.
Now I can see some kind of vision for tz
 
Mungu amuweke marehemu pahali pema. naomba kufahamishwa vitu 3 vikuu ambavyo marehemu alifanya .
hapa sizungumzii tabia kama mtu wnenye huruma au alipigania haki za wanyonge n.k.

Asanteni
 
Hongereni kwa hilo mlilolifanya
Ila naomba nitofautiane na mtoa mada hapo juu ingependeza zaidi picha zikabakia kama zilivyo bila utambulisho. May be kwa ridhaa ya wahusika unaweza kusema huyu ni nani na yule ni nani

Inabidi maelezo caption iwepo. Inatumika ridhaa ile ile iliyotumika kuweka picha
 
Mwanzo wa kitu chochote ni mgumu lakini naamini kwa nia thabiti na malengo yasiyoyumba tutafanikiwa timiza yote o
i.i.k.tuliyoahidi katika kumuenzi Hayati Regia Mtema.
 
Inabidi maelezo caption iwepo. Inatumika ridhaa ile ile iliyotumika kuweka picha

Mi nadhani kubwa ni kwamba picha za marafiki wa Rejia waliohudhuria zimewekwa na inatosha kusema ni marafiki wa Regia, sidhani kama kuweka majina kutasaidia kwa namna yoyote katika kufikia malengo. Kama inavyoonekana majina yote ya kaati yamewekwa wazi na ndio chombo kilichoteuliwa kuhakikisha maazimio yote yanafanikishwa kwa hiyo ni vema kama tutaipa ushrikuano stahili kamati hiyo
 
Sustainability is the only seen challenge with projects of this nature..........keep the fire burning
 
Back
Top Bottom