Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Halafu Lizzy wewe ni Genius!!Watu bana. . . potezea tu!!Wangejua ukweli wangekosa la kusema.
Siongei zaidi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Lizzy wewe ni Genius!!Watu bana. . . potezea tu!!Wangejua ukweli wangekosa la kusema.
Hizi ni picha za baadhi tu ya wana JF ambao ni marafiki wa Regia na walihudhuria kikao, mleta mada amebandika picha kwa niaba yao, pilipili usiyoila vipi ikuwashe?Naona mmegeuka kujadili watu namuonekano wao dah hii hatari sasa, msimtukane mama Rwakatare kwa kusema ukweli, ushaidi ni uzi huu
Lol...ROTFL..nimecheka sana!! Ngoja nijilalie tu!Kuna mtu alimfananisha huyo na avatar yako.
Nasikia huyo ndio PAW kwa mujibu wa posts za kwenye nyuzi hii, naogopa ku comment kuja kula ban ambazo sikutegemea. Kama kweli ni Paw, na kwa kui analyze hiyo sura yake, sasa najuwa kwanini ban zake zinakuwa sana baada ya saa sita usiku.
aisee tuna madada wazuri kweliiiiiiii JF LAKINI WAKO SIRIAZI SIJUI LIZZY HUYU!!!NINGEKUWEPO KARIBU NINGEDONDOSHA SHILLINGI NIHAKIKISHE
Poa kaka,
Soma tu PM sasa hivi utakuta maelezo zaidi,
Naomba sana tujitahidi walau kwenye hili jambo...Watanzania tumekuwa mabingwa sana wa kulalamika pale ambapo wenzetu wanashindwa kutekeleza mambo fulani...Hiyo tuifanye hii iwe changamoto kwetu ili tupate uhalali wa kuwalaumu wazembe....
Just motiviating myself and wadau wengine wanaounga mkono jitihada zenu!!
Babu DC!!
Halafu Lizzy wewe ni Genius!!
Siongei zaidi!!
haaah haaah Lizy upooo?!
nishajua kwa nini NN yuko tepe tepe kwa huyu mtoto
We mwanaume mzima unasema yuko tepe tepe?UTAPIGWA!!nishajua kwa nini NN yuko tepe tepe kwa huyu mtoto
Poa kaka,
Soma tu PM sasa hivi utakuta maelezo zaidi,
Naomba sana tujitahidi walau kwenye hili jambo...Watanzania tumekuwa mabingwa sana wa kulalamika pale ambapo wenzetu wanashindwa kutekeleza mambo fulani...Hiyo tuifanye hii iwe changamoto kwetu ili tupate uhalali wa kuwalaumu wazembe....
Just motiviating myself and wadau wengine wanaounga mkono jitihada zenu!!
Babu DC!!
FF huyu ni mama yake Regia kama sikosei na atakuwa hayupo JF.Huyu napendekeza abadili ID yoyote anayotumia hapa JF na ajiite "Whoopy" anafanana nae sana na anaonesha ana vituko kama Whoopy mwenyewe:
kwelli wamefanana hadi rasta . kuhusu uwepo wake hapa JF sijui ila 70% atakuwa hayupo hapa JF ...Kafanana na whoopy Goldberg Yule actress wa kimerekani. Na inawezekana kuwa yupo JF vile vile, unajuwaje kama hayupo?
Mkuu nijisemee kwanza mie mwenyewe.
Nashukuru kwa hizo picha ingawa kidogo maelezo yamepungua hasa kujulisha nani ni nani.
Ila kuna dada anafanana sana na Merehemu, sijui atakuwa ndiye pacha wake?
Mbarikiwe kwa zoezi zima kuanzia kufikiri, kuanza na kumaliza.