Huwez zuia mafuriko kwa mkono by EDUMWAMBA Wa KASKAZINI
Ikulu sio ICU...
Naona Edo anatamani awe na afya kama ya Kigunge
Mods please msiunganishe huu uzi na nyingine tuone mapicha na pia kuwalambisha limao ile timu nyingine ya Mtama.
Hapo kuna kaukweli hata mimi niliona tofauti..... bwana mamvi hawezi kabisa kunyanyua mikono, ni mgogoro yani wakati anaongea alikuwa akinyanyua mikono kwa taabu kabisa na ilikuwa ikiishia katikati.. lakini mzee kingunge bado yuko fiti kabisa alipokuwa akiongea kwa ukakamavu kabisa na kunyanyua mikono hadi juu
Chanuka uone kama mikono yake haina nguvu
stroke na kujinyeaHapo baadae kama mtu ajazimika kwa stroke sijui
Mmh....Acha jazba unazidi tu kumtia aibu huyo fisadi wako aliyeshindwa tu kujielezea zaidi ya kumtisha mwenyekiti wa chama chake.