tz2015
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 982
- 447
ITV,EATV wamesema watarusha,kama upo karibu na TV jaribu stations hizo.kituo.gani cha tv kinarusha matangazo?
ITV,EATV wamesema watarusha,kama upo karibu na TV jaribu stations hizo.kituo.gani cha tv kinarusha matangazo?
Anaenda kutangaza kujitoa katika masuala ya kisiasa.
Hela ndo kila kitu...wakati akina Mwigulu wanaenda vyuoni kutangaza nia...Edo anakusanya nyomi balaaa....kinachouma ni kwamba hela hizi zote zitarudishwa akiwa Rais. Waliozitoa watarudishiwa tu iwe kwa vyeo vya kiswahiba, ufisadi, miradi...lazima zirudi acoount equation i-balance!!
Mods please msiunganishe huu uzi na nyingine tuone mapicha na pia kuwalambisha limao ile timu nyingine ya Mtama.
Asubuhi Radio one ndo wamesema watarusha.jaribu kufuatilia huko.redio gani inarusha live wadau
Nchi hii tulikofika ni heri huyo anayepewa na wenzake,kuliko serikali inayofilisi mifuko ya pensheniHela ndo kila kitu...wakati akina Mwigulu wanaenda vyuoni kutangaza nia...Edo anakusanya nyomi balaaa....kinachouma ni kwamba hela hizi zote zitarudishwa akiwa Rais. Waliozitoa watarudishiwa tu iwe kwa vyeo vya kiswahiba, ufisadi, miradi...lazima zirudi acoount equation i-balance!!
ITV,EATV wamesema watarusha,kama upo karibu na TV jaribu stations hizo.
Hela ndo kila kitu...wakati akina Mwigulu wanaenda vyuoni kutangaza nia...Edo anakusanya nyomi balaaa....kinachouma ni kwamba hela hizi zote zitarudishwa akiwa Rais. Waliozitoa watarudishiwa tu iwe kwa vyeo vya kiswahiba, ufisadi, miradi...lazima zirudi acoount equation i-balance!!