mtemi mazengo
Member
- Jul 21, 2012
- 26
- 3
napita , ntarudi badae
Mkuu hivi unawaelezaje watu kuhusu maisha magumu wakati wewe unahemea juu juu!Si ndiyo maana wananchi wanawaona wasanii:eek2:
lakini lazima tuoneshe kwa vitendo juhudi za kuikomboa nchi kwa mbinu zetu wenyewe za wazi na siri kwani kiukweli nchi yetu haiko vizuri.tunaweza tu kufanya kwa kubaki watanzania na wazalendo basi.
Huyu anaongea nini jamani, utadhani anatishia kumeza watoto!
Inakuwa kauli ya Serikali ya CCMMi najiuliza tu hapo tamko likitolewa na waziri aliyevaa nguo ya kijani kauli yake inakuwa ni kauli ya serikali au kauli ya chama?
Huyu anaongea nini jamani, utadhani anatishia kumeza watoto!
Kweli CCM tumeichoka lakini wote hatuwezi kuwa CDM
Huu ni mkutano wa CCM jana Kigoma pamoja na mbwembwe nyingi za matangazo wananchi wa Kigoma wameonesha kuwa CCM haitakiwi Kigoma. Inabidi mikoa mingine iige huu msimamom wa kuikataa CCM.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma. |