escober
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 391
- 98
Huu ni mkutano wa CCM jana Kigoma pamoja na mbwembwe nyingi za matangazo wananchi wa Kigoma wameonesha kuwa CCM haitakiwi Kigoma. Inabidi mikoa mingine iige huu msimamom wa kuikataa CCM.
Attachments
-
1. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI, Aggrey Mwanri akihutubia, kwenye Uwanja wa Com.jpg51.1 KB · Views: 2,670
-
2. Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia kwenye uwanja wa Community Centre Mw.jpg53.9 KB · Views: 2,542
-
3. Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Steven Wasira akihutubia kwenye Uwanja wa Community Cetre Mwang.jpg41.4 KB · Views: 3,774
-
4. Naibu Waziri wa Uchukuzi Charles Tzeba akihutubia kwenye Uwanja wa Community Cetre, Mwanga Ki.jpg46.4 KB · Views: 2,465
-
5. Mamia ya wananchi waliofurika kwenye mkutani wa CCM katika Uwanja wa Community Centre, Mwanga.jpg52.3 KB · Views: 2,466