Shekh kahtana mbona makonda kaingia na viatu na viatu kwenye nyumba ya ibada,Mimi pia Sheikh vile vile.
Na namuombea Makonda Mungu amuumbue km anavyo waumbua wanyonge wasio na Hatia.
Amdhalilishe km anavyodhalilisha watu wasiokuwa na Hatia.
Amporomishe Chini km alivyo mporomosha Firaun na Maadui wa haki wengine.
Na ampige maradhi yasio poneka kwa Dhulma anazofanyia watu wasiokuwa na Hatia.
Can i get "Amen" .
Ahsanta.
Comments zako ni either hahaha or ohohohooo. Jaribu kuweka nyama kwenye mfupa ndumila kuwili.Ohoooo!!!
Ama hiviI ni vichekesho,hivi ni aibu,Ni bora wakafanya haraka kumpima akili.Hawa ni masheikh au makada wa CCM?
22.4dm3Mungu awabariki hawa masheikh wetu hawa
Dah nyie ndo mnaoichafua dini... Kuombewa ni kuombewa haijalish amevaa nn au anafanya nn, kwani we hujawahi kuombewa dua hata na mamaako wakt we haupo na pengne mda huo ulikuwa kwenye mambo ya kiibilisi?? Acha ubaguzi eti sio muislam kwan masheikh wanapofanya dua la kuombea Taifa huwa hawajui kuna wengine ni wa dini tofauti?katika uislamu hakuna utaratibu kama huu umekaa na mimbuti ya viatu kwenye mameza namna hii kama kanisani, kwanza makonda sio muislamu.
ahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa......zinarudi zilipotoka... daaaaahh nmecheka kwelilkweli😀😀😀😀Dua nyingine zinaishia juu ya dari na kurudi.
Na aliyekwambia hio ni nyumba ya ibada Shemeji yako.Shekh kahtana mbona makonda kaingia na viatu na viatu kwenye nyumba ya ibada,
Au ndo allah alivyoagiza kwamba akija mtu ana mihela mingi asivue viatu
Kwahiyo ukisoma dua shekh khatan ni ruhusa kuwa na viatu etNa aliyekwambia hio ni nyumba ya ibada Shemeji yako.
Toka lini Ukakuta nyumba ya ibada ya waislamu kukawekwa viti na meza.
Au una malienge nyanyumbu?