Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Muislamu anamuombea mkiristo dua gani?

Quran tukufu inafahamisha ~ :Enyi mlioamini msiwafanye Mayahudi na WakrisTo kuwa marafiki; wao kwa wao ni marafiki; na miongoni mwenu atakayefanya urafki nao, basi huyu yu pamoja nao; hakika Mwenyezi Mungu Hawaongozi watu wadhalimu.

Si ndio mimi nashangaa,Maana Musilam anamwamini Alah na Mkristo anamwamini YESU( Mfalme wa Israel) ,Mungu wa miungu ,Mfalme wa Amani,alpha na Omega, mwenye uweza wa kifalme!

Sasa Yesu si wa michangano,aamue pa kuombewa,Huwezi shabikia Simba na Yanga kwa wakati Mmoja.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.

View attachment 474598
Ha ha ha ha haaaaaa!!!! hi kali ya kuanzia mwaka ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaa!!! Mzee wa ufalme wa mbinguni anapigwa kisomo ha ha ha ha haàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
 
Naona halbadiri ya kikristo alosomewa na gwajima impata
 
Haya maigizo,naweza amini sasa anatembeza bahasha,Dua ya kiislamu na masheikh,mtu kakaa na viatu? Bora angesimama tu!!

Vinginevyo atuambie anakiombea cheti chake cha kidato cha nne na sita
hahahahha

eti jamani, dua na viatu wapi na wapi?
 
Masheik siwaelewi nukta, hivi priority ya taifa ni Makonda? Nonsense! Simameni shutumu dhulma ya Jecha Unguja na Pemba. Ombeni dua barik wangwana Wanzazibari.
 
comment nyingine utadhani qualification ya kuombewa ni kuwa malaika.
Qualification ya kuombewa msingi wake ni imani. Huwezi kuwa mkristu halafu ukaombewa na muislamu. Ina maana haamini tena kwamba Yesu ndiye njia pekee? Kwani hapo kabla ya kumwombea wamemsilimisha? Usanii mtupu.
 
Back
Top Bottom