Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dsm,akiwa katulia katikati ya Masheikh huku wakimuombea dua
View attachment 474547
Hawa ndio wanaotudhalilishia Dini yetu.
Na sisi tunaopenda Ukweli nafasi za Usheikh hatupewi hata tupigane na mizinga.

Hebu mtumeni huyo makonda akaombewe Dua na Sheikh mpenda HAKI na Msema Kweli al allama Sheikh Ponda uone km hakutolewa na Bakora za makalio.

Hao SIO MASHEIKH bali ni MASHEHENA. Yaani Mizigo kwenye Dini hii Tukufu.
 
Hawa ndio wanaotudhalilishia Dini yetu.
Na sisi tunaopenda Ukweli nafasi za Usheikh hatupewi hata tupigane na mizinga.

Hebu mtumeni huyo makonda akaombewe Dua na Sheikh mpenda HAKI na Msema Kweli al allama Sheikh Ponda uone km hakutolewa na Bakora za makalio.

Hao SIO MASHEIKH bali ni MASHEHENA. Yaani Mizigo kwenye Dini hii Tukufu.
Sio wa BAKWATA hawa? ?
 
33b8d5439f43d51afe626dd9bc206ee9.jpg
na hii picha ya leo ui mbavu zangu mie
 
Anaombewa. Yale mapepo aliyoelekezewa kwake na wafuasi wa mtumishi, ila hizi comedy ngoja tuone mwisho wa sterling.
 
Back
Top Bottom