leo ni historia,kuna makundi ya watu wanaelekea kwenye msafara wakitokea arusha mjini.hii ni ajabu!more than expected!
hakika huu ushndi ni wa hak imetendeka nawaona makamanda wenzetu kigoma waksherekea ushind wa Lema,.kwel Lema m2 wa wa2...Arusha leo n bonge la wekend.mkuu watu wameenda KIA na wengine tuko kwenye maskani mbalimbali za CDM.hakika ni jumamosi tamu mno!
Ndugu yangu acha wivu.siasa za bongo ni pasua kichwa,hakuna ustaarabu hapa.tutaishia kuwa masikini kwani nchi kama marekani,ghana,kenya, rwanda n.k hawafanyi siasa za kitoto km hizi.tunapoteza muda mwingi sana kwenye siasa kuliko kutimiza wajibu kwa wapiga kura na walipa kodi.Kila aliyepewa dhamana na atimize wajibu wake.Tusigeuze Tanzania kuwa nchi ya malumbano ya kisisasa kila kukicha au ndio kusema mmepoteza ushawishi kwa wananchi na ndio wenye nchi.
Leo ni viroba tu na ganja.
Leo ni viroba tu na ganja.