Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,550
Wazee wa ncha kali hawapo?
Thubutu yao, hawajipendi!???
Wazee wa ncha kali hawapo?
leo bora boda boda na wao wajipatie ulaji. Sijui zimekodishwa ngapi kwa kazi hii.
Leo ni viroba tu na ganja.
sura imekushuka na bado do doLeo ni viroba tu na ganja.
Hapa ndio tunaingia mjini, tuko kwenye msafara wa Mbunge Lema. Tutakuwa na mkutano pale Kilombero muda mfupi ujao. Naapa kwa MUNGU sijawahi kuona msafara kama huu tangu nizaliwe! Siyo Mwl. Nyerere wala Pope John Paul II (RIP) au hata Mandela! M4C!
Hapa ndio tunaingia mjini, tuko kwenye msafara wa Mbunge Lema. Tutakuwa na mkutano pale Kilombero muda mfupi ujao. Naapa kwa MUNGU sijawahi kuona msafara kama huu tangu nizaliwe! Siyo Mwl. Nyerere wala Pope John Paul II (RIP) au hata Mandela! M4C!
Hapa ndio tunaingia mjini, tuko kwenye msafara wa Mbunge Lema. Tutakuwa na mkutano pale Kilombero muda mfupi ujao. Naapa kwa MUNGU sijawahi kuona msafara kama huu tangu nizaliwe! Siyo Mwl. Nyerere wala Pope John Paul II (RIP) au hata Mandela! M4C!
usihofu kamanda!