Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,884
Akina mama mnatuangusha sana amkeni
khaaa.....chezeya kina mama wa Chugga wewe....hivi umetuona au unatusikiaga tu.....?
Akina mama mnatuangusha sana amkeni
Kumbe mna flana nzuri hivi za Chadema?
Napenda kukuambia cdm hata siku moja hawakodishi boda boda.Biashara ya bodaboda ni zao la ccm baada ya kuua viwanda na kubinafsisha rasilimali za nchi yetu .Bodaboda tuna uchungu na nchi yetu tunaamini mkombozi wetu ni CDM.Leo bora boda boda na wao wajipatie ulaji. Sijui zimekodishwa ngapi kwa kazi hii.
Leo ni viroba tu na ganja.
Leo ni viroba tu na ganja.
sio pilau na kanga?